Pamoja na umaarufu wake na ukubwa wa jina lake lakini huwa nyimbo za Vanessa Mdee huwa sizielewi kabisa...yaani hata ukiniuliza sasa hivi kama kuna nyimbo yake naiujua wala siwezi kukuambia manake hazinaga ujumbe unaoeleweka...nikifananisha na akina Nandy , Linah, Maua Sama,Lady JD na mademu wengine....nimejaribu kuzipenda nyimbo zake lakini huwa haziningii akilini kabisa....sijui ni uzee au ushamba?Kama kuna anaye muelewa naomba mnisaidie kiushauri ili nipende nyimbo zake...