KORBOTO
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 1,837
- 2,427
Habari wanaJF,
Mimi ni mwanamke 23yrs nimeolewa na nina mtoto mmoja..
Jamani naombeni msaada wenu jinsi ya kufanya mapenzi kumridhisha mume wangu.
Na je kuzaa kunafanya chini kupanuka?
We miaka 23 una mume na mtoto...., acha kututania hicho hicho kiasi unachokijua kinatosha sana. Hakika wewe unawazidi zaidi ya nusu ya wanawake, wenzio wapo na miaka 28 hawajaona hata kimoja kati ya viwili tu ulivotaja hapo juu.
Kwa sasa wewe jifundishe namna ya kulea familia vzr, 'mama mzuri anatakiwa awejeee?' Hilo liwe swali lako kubwa.
Usidanganyike na yanayoandikwa humu, mengi ni ya uwongo tu. tulia rudi kwenye uhalisia