Sijui kukata kiuno kumridhisha mume wangu

Jamani i really need ur help coz ninaishi urabuni so ningependa kupata ushauri kutoka kwa my old country coz here no one knws how to really satisfy her man....pls i wnt to be the only woman who he is satisfied with..
 
Naamhisi mume wangu hariziki kama kabla ya kuzifungua nina miaka mitatu tokea niolewe ...pls naombeni msaada i really love my husband
 
N pls am very white girl with nice body sadly i dnt know how to satisfy a man
 
Habari wana jf..mimi ni mwanamke 23yrs nimeolewa na nina mtoto mmoja..jamani naombeni msaada wenu jinsi ya kufanya mapenzi kumrizisha mume wangu na je kuzaa kunafanya chini kupanuka?
Sidhani Kama kuzaa kunafanya chini kupanuke...huko chini ni Kama mpira kunauwezo wa kupanuka na kubana. Wewe labda huwa unapendelea style gani kitandani!? Ili sisi wanaume tuweze kukusaidia jinsi ya kumtuliza mumeo. Kwa sababu sio kila mwanaume anapenda viuno kitandani. Unatakiwa Ujue jinsi ya kujipanga kitandani ili mwanaume akupate vizuri.
 
Sidhani Kama kuzaa kunafanya chini kupanuke...huko chini ni Kama mpira kunauwezo wa kupanuka na kubana. Wewe labda huwa unapendelea style gani kitandani!? Ili sisi wanaume tuweze kukusaidia jinsi ya kumtuliza mumeo. Kwa sababu sio kila mwanaume anapenda viuno kitandani. Unatakiwa Ujue jinsi ya kujipanga kitandani ili mwanaume akupate vizuri.
Mimi hupendelea yeye kuwa juu
 
Umejarib kuplay smart sema tu unasahau cku ya kuzaliwa inajirudia, angalien profile za hizo thread

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Yes nliwahi kupost humu kabla ya kuolewa
 
Hey guys i don't know y in my profile its written wrong birth date..please don't get me wrong i still don't know how to use JF correctly
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom