Kuna binam Wa wife kaja kutoka moshi kwa kweli kaumbika sana
Sasa usiku nilinyata hadi chumbani cha wageni anamolala, wife alikua anakoroma wakati huo
Nilishika elfu 30 mkononi nikagonga mlango akafungua nikamwonesha ile hela na kumwomba niingie kumbe yule Dada ni mlokole akaanza kunikemea hapo hapo
Akageuka mbogo na kutishia kuwaamsha nyumba nzima ikabidi nimpigie magoti akanifukuza mle chumbani kwa kweli nimepata aibu ya milele
Ilikua ni Ijumaa iliyopita yaani sasa hivi narudi home usiku sana ili tusionane na yule shemeji yangu
Na sijui hata anaondoka lini?
Sasa sijui atamwambia wife au keshamwambia?
Nikipona hili sirudii tena nilikua nimezoe mabinti wakija kwetu hapa kwetu nawafuata usiku na noti ya elfu kumi au ishirini nagonga mlango na kuwaonesha zile hela nao unifungulia tunamalizana
Kama mungu atanisaidia nipone hili jaribu naacha Tabia hii
Kuna mwenye jawabu nifanyeje??