Complicator EM
Senior Member
- Dec 20, 2011
- 155
- 39
Yaani leo sijui hii siku yangu imekaakaje, yaani sijisikii powa kabisa, chai sijapiga halafu sina hata hamu ya kula, mfukoni bila bila dah! hii yua leo hamna kabisa. Nimechok mbaya, Hamna mwenye contact za WA KUSOMA humu jamani?