Sijisikii powa

Complicator EM

Senior Member
Dec 20, 2011
155
39
Yaani leo sijui hii siku yangu imekaakaje, yaani sijisikii powa kabisa, chai sijapiga halafu sina hata hamu ya kula, mfukoni bila bila dah! hii yua leo hamna kabisa. Nimechok mbaya, Hamna mwenye contact za WA KUSOMA humu jamani?
 
Back
Top Bottom