Sijawahi kuvunja amri ya sita.

Sijawahi kuvunja amri ya sita.

Usipotoshe ndugu! hiyo uliyoweka kama amri ya kwanza na hiyo ya pili ni fungu moja, kwamba USIWE NA MUNGU/MIUNGU MINGINE isipokuwa Mungu YEHOVA! hiyo amri yako ya saba inakuwa kama ilivyo Amri ya Sita! kwa ufupi hiyo uliyofanya Amri ya Pili ni ufafanuzi wa Amri ya Kwanza!
 
Amri ya NNE kutoka/ Exodus 20:8-11
Labda niulize swali kwanini kwenye katekisimu hizi amri ziko changed wakati biblia nyingi zinataja hizo amri zote?
Pia amri ya pili yaani fungu la 4-6 haifatwi na kina fulani fulani.
Wanakubali kuwa Yesu alifufuka siku ya Jumapili ambayo ni siku ya kwanza according to the bible je kwanini hawasali siku ya Saba?
 
Yohana 13:34-35
Amri mpya nawapa, Mpendane. Kama vile nilivyowapenda ninyi, nanyi mpendane vivyo hivyo.
Hivyo watu wote watatambua ya kuwa ninyi mmekuwa wanafunzi wangu, mkiwa na upendo ninyi kwa ninyi.

kwa mimi naamini kama watu watafuata mstari huu, si dhani kama kutakuwa na kuvunja hata amri moja ya MUNGU kwa kuwa hakuna mtu angependa kuzini kwa kuwa angemchukiza mwezie, hakuna mtu ambaye angetembea na mke wa mtu kwakuwa hata yeye hapendi mtu atembee na mtu mwingine, hakuna mtu anayependa kuibiwa hivyo na yeye anatakiwa asiibe na tafsiri nyingi sana zinazoendana na kubeba ujumbe huu.
hivyo tunahitaji kujitazama zaidi na kuangalia mapungufu yetu ili tuweze kujirekebisha na kuwarekebisha wenzetu.
tunatakiwa kuishi kama watoto kwakuwa wao ni wamoja siku zote ,wanaweza kuchanganyika japo sisi wazazi tumetengeneza ubinafsi ambao hata sisi hatukulelewa hivyo eti hatutakiwa wapate shida ikiwa ni pamoja na kuwachagulia marafiki ,kuwabagua kwa shule zao, kuwaondoa kwenye tamaduni zao na kuwakumbatia kwa tamaduni za kithungu (baba mshwahili mama mswahili lakini ndani speak english mbaya zaidi wazazi wote wahaya wao wanongea kihaya ila watoto wanawasemesha kidhungu) hivi ni kweli wazazi wetu walitulea hiv?
tujiulize ni wapi tulikosea kwa kuwa kwa kuwagawa watoto tunawatengenezea uawadui na matengano na mwisho wa siku tunajenga taifa lisilopendana kwa kuwa limezoea kuishi kwa kubaguana.
leo hii tunawanawake hawawezi kupika ugali katika jiko la mkaa, hawawezi kufua, kwakuwa tuliwaweka katika malezi mabaya.
mistari hii ituongoze kuangalia tunakosea wapi na mwisho wa siku hakutakuwa na aina yoyote ya ubaguzi na ukandamizaji kwa kuwa kila baya ufikirialo kutenda unatakiwa urudi nyuma na uifikirie nafsi yako kwanza ili usimkwaze mwingine.
 
Amri ya NNE kutoka/ Exodus 20:8-11
Labda niulize swali kwanini kwenye katekisimu hizi amri ziko changed wakati biblia nyingi zinataja hizo amri zote?
Pia amri ya pili yaani fungu la 4-6 haifatwi na kina fulani fulani.
Wanakubali kuwa Yesu alifufuka siku ya Jumapili ambayo ni siku ya kwanza according to the bible je kwanini hawasali siku ya Saba?[/QUOTE]

Mungu hafungwi na siku, siku zote ni zake yeye na wambwabuduo Mungu humwabudu katika roho na kweli.
 
Ukisoma Mathew 5:17 inaelezea vizuri " Msidhani ya kuwa nimekuja kutangua Sheria ya Musa na mafundisho ya manabii. Sikuja kutangua bali kukamilisha.-18-Kweli nawaambieni, mpaka hapo mbingu na dunia zitakapopita, hakuna hata nukta moja au sehemu ndogo kabisa ya Sheria itakayoondolewa, mpaka yote yametimia.-19-Basi, yeyote atakayevunja hata amri moja ndogo kuliko zote, na kuwafundisha wengine wafanye hivyo, huyo atakuwa mdogo kabisa katika Ufalme wa mbiguni. Lakini yule atakayezishika na kuwafundisha wengine, huyo atakuwa mkubwa katika Ufalme wa mbinguni.20-Ndiyo maana nawaambieni, wema wenu usipozidi ule wa Mafarisayo na walimu wa Sheria, hamtaingia kamwe katika Ufalme wa mbinguni.
 
Na Biblia inasema, Ukivunja mojaourwapo ya amri hizo umevinja zote...ask yourself again, je bado hujafunja amri ya sita?

Again, amri hiyo uliyoiquote kama ya sita, Biblia pia inasema, amchukiaye ndugu yake ni sawa na muuaji...jiulize tena ndugu, unawapendaje ndugu zako?

:A S 576:

#idiot

Imeandikwa usizini lakini YESU anasema amtazamae mwanamke kwa kumtamani amekwisha kuzini naye moyoni mwake, hiyo ni dhambi. Nani ambaye hajawahi kuzini??? Njia iendayo mbinguni ni nyembamba na imesongwa sana nao waiendeao ni wachache bali iendayo jehanamu ni pana na waiendeao ni wengi. Tafakari!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nitake radhi wewe, mimi niwe msabato nina kichaa! Mimi ni Mkatoliki kaka, ndio habari ya mujini but am just speakin tha truth

Nakushukuru sana kwa kuwa unalitambua hili....

“Remember the Sabbath day by
keeping it holy. 9 Six days you
shall labor and do all your work, 10
but the seventh day is a sabbath
to the Lord your God. On it you
shall not do any work, neither you,
nor your son or daughter, nor your
male or female servant, nor your
animals, nor any foreigner residing
in your towns."
 
mi najua ya sita usizini sasa sijui ushawishi wako ni upi ili nikubali na kuamini sio ya sita bali saba
 
Amri ya NNE kutoka/
Exodus 20:8-11
Labda niulize swali kwanini kwenye katekisimu hizi amri ziko changed
wakati biblia nyingi zinataja hizo amri zote?
Pia amri ya pili yaani fungu la 4-6 haifatwi na kina fulani fulani.
Wanakubali kuwa Yesu alifufuka siku ya Jumapili ambayo ni siku ya kwanza
according to the bible je kwanini hawasali siku ya Saba?

kusali jumamoja,mbili n.k hakumaanishi lolote mkuu,kila cku ni cku ya mungu,hzo cku zisikuchanyanye mkuu,mbinguni utaenda hata ukisali juma4 badala ya ijumaa ama jumapili,cha muhimu utende yaliyo mema tu broo
 
Unbelivable! You are proud kwamba amri uliyowahivunja sio ya sita bali ni ya saba??!!! Am a little confuse here
 
katika kujifunza kwangu nilikuja kugundua kuwa Biblia ndio kitabu kigumu zaid kupita vyote endapo utakisoma kwa jinsi ya kibinadam. la muhm sana kujua kabla hujafanya shaur ya kuisoma Biblia kama kweli unataka kuijua kweli ya Mungu ni hivi (1) piga magoti mwombe Mungu mwambie unataka kuijua kweli, mwambie alitaka kifanyike nini alipoileta Biblia na ufanye nini ili utimize haki yake kwanza. Amin ndugu utajikuta umeujua ukweli na utajikuta umeshafaham kusudio halis la Mungu kupitia Biblia. kumbuka hili cku zote Maandiko matakatifu yaan Biblia yaliandikwa na Roho mtakatifu kupitia Mwanadam na ukitaka kuyajua sharti uingie rohon. sasa kuna wengine wanajifunza maandiko kwa misingi ya kushindana Biblia inasema usishindane nao wamepotea, soma mfano huu mdogo. Biblia inatuambia palikuwa ni kijana tajir alimfuata Yesu akamwambia Mwl. nifanye nini ili niurithi ufalme wa Mungu? Yeye Bwana mkubwa akamwambia wazijua amri yeye akadai amezishika toka utoton, Yesu akamwambia nenda kauze vitu vyako vyote uwape maskin. kwa ufupi unaweza kuona pamoja na kushika amri zote tena tangu utoton hilo halikutosha kumhakikishia uzima ule. nachotaka kusema ndugu ni kuwa mbingun ni zaid ya zile amr. nenda mbele zaid ruhusu Roho wa Mungu aingie kwako utaifaham kwel yote.
 
Adolf Hitler aliye ua watu milioni kumi na mimi niliye mdanganya konda wa Ubungo-Kariakoo kwamba ni mwanafunzi, nikalipa nauli ya mwanafunzi, wote tumetenda dhambi sawa?

Exactly! Maana aliesema usiue ndie aliesema usiseme uongo! Hakuna dhambi ndogo mkuu.
 
Nitake radhi wewe, mimi niwe msabato nina kichaa! Mimi ni Mkatoliki kaka, ndio habari ya mujini but am just speakin tha truth

watake radhi wasabato kwa kuwaita ni vichaa!!kisha futa kauli yako!!
 
Nitake radhi wewe, mimi niwe msabato nina kichaa! Mimi ni Mkatoliki kaka, ndio habari ya mujini but am just speakin tha truth

Hutakuwa kichaa, bari utaijua kweli nahiyokweli itakuweka huru, vipi sanamu
 
Nitake radhi wewe, mimi niwe msabato nina kichaa! Mimi ni Mkatoliki kaka, ndio habari ya mujini but am just speakin tha truth

Hutakuwa kichaa, bari utaijua kweli nahiyokweli itakuweka huru na masanamu
 
Back
Top Bottom