Kamanda Kazi
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 2,613
- 799
Usipotoshe ndugu! hiyo uliyoweka kama amri ya kwanza na hiyo ya pili ni fungu moja, kwamba USIWE NA MUNGU/MIUNGU MINGINE isipokuwa Mungu YEHOVA! hiyo amri yako ya saba inakuwa kama ilivyo Amri ya Sita! kwa ufupi hiyo uliyofanya Amri ya Pili ni ufafanuzi wa Amri ya Kwanza!