Sijawahi kuvunja amri ya sita.

Sijawahi kuvunja amri ya sita.

nendeni makanisani kwenu mukaambiane hayo.
toeni hoja zenu za kidini hapa ndani.
Umewasoma enheh! Ivi washavunja amri ngapi za mungu kwa makusudi? Bibilia inawaambia "nendeni mkazaane muijaze dunia" lakini wao kiongozi wao haruhusiwi kufanya mapenzi, hivi huku sio kuvunja amri ya mungu?
 
hakuna amri ndogo na kubwa,
zote uzito wake ni sawa
na aliziandika Mungu mwenyewe kwa kutumia
vidole vyake.

Lakini msamaha upo endapo utatubu na kujinyenyekesha.

Adolf Hitler aliye ua watu milioni kumi na mimi niliye mdanganya konda wa Ubungo-Kariakoo kwamba ni mwanafunzi, nikalipa nauli ya mwanafunzi, wote tumetenda dhambi sawa?
 
thea4,malengo yako makubwa ktk thread yako ni nini?
1.Kutuonesha mpangilio ulio sahihi wa amri hizo kwa mujibu wa uelewa wako?
AU
2.Kutufahamisha kuwa hujawahi kuzini?

I hope ur a great thinker enough to understand what am talking about , but ngoja nikusaidie kuelewa. Lengo langu ni kuonyesha namna ambavyo mazoea na yanavyoweza kubadilisha mantiki ya kitu au jambo fulani. Leo hii kila mtu ana jua usizini ni amri ya sita kwa sababu imekuwa ikisemwa hivyo kwa muda mrefu kama ambavyo watanzania wengi wanavyo amini kuwa Tz ni nchi masikini kwa sababu Nyerere alisema hivyo.
 
Dah afadhali, ningeshangaa, mjanja kama ww, tena unayetumia picha ya mjanja kama NKEM OWOH uwe msabato?
Kumbe ktk ukristo Mkatoriki ndie mjanja na Msabato ni mjinga? Kweli dini hii ni shamba la bibi. (mradi wa watu kujilimbikizia fedha)
 
Kumbe ktk ukristo Mkatoriki ndie mjanja na Msabato ni mjinga? Kweli dini hii ni shamba la bibi. (mradi wa watu kujilimbikizia fedha)

hujaelewa wewe piga kimya
 
nendeni makanisani kwenu mukaambiane hayo.
toeni hoja zenu za kidini hapa ndani.

Nenda Ngende ukapige ramli wewe, kitu gani kimekufanya uache kwenda kukomenti kwenye thread nyingine kuja huku kwenye thread za kidini
 
Nitake radhi wewe, mimi niwe msabato nina kichaa! Mimi ni Mkatoliki kaka, ndio habari ya mujini but am just speakin tha truth

eh KUMBE WASABATO NI VICHA..A NGOJA WATAKUJA UTAPELEKWA ULAYA BILA NDEGE SHAURI YAKO WANAKUJA MUDA HUU
 
Kumbe ktk ukristo Mkatoriki ndie mjanja na Msabato ni mjinga? Kweli dini hii ni shamba la bibi. (mradi wa watu kujilimbikizia fedha)

Kama wewe ni GT wa ukweli, huwezi kuchukua maelezo yangu kama authority unless otherwise utakuwa na matatizo kwenye medulla oblangata yako, maelezo yango haya wakilishi mawazo ya wakristo wote, na wala haimaniishi kwamba yapo sahihi, and haimaanishi pia nitabaki kuamini katika mawazo hayo siku zote . Na mwisho, ukristo sio dini, ni imani .
 
Bujibuji kumbe we ni msabato? nimekudharau sana

Unamaanisha nini kwa msemo huu ndugu yangu? Kwani wasabato wana nini mpaka uwadharau? Alafu mbona unaleta umadhebu na udini jukwaani?
Bwana LIKUD jaribu kuheshimu wengine na dini zao!
 
Last edited by a moderator:
Unamaanisha nini kwa msemo huu ndugu yangu? Kwani wasabato wana nini mpaka uwadharau? Alafu mbona unaleta umadhebu na udini jukwaani?
Bwana LIKUD jaribu kuheshimu wengine na dini zao!

WASABATO SIO WAKRISTO................Father ( Jina lake na jina la parokia navihifadhi )
 
WASABATO SIO WAKRISTO................Father ( Jina lake na jina la parokia navihifadhi )

Wewe kuwa wazi tu. Si umeshaamua kudharau imani za wengine?
Lete vigezo vya kutowaita wasabato wakristo.
 
Back
Top Bottom