Sijawahi kuvunja amri ya sita.

Sijawahi kuvunja amri ya sita.

Adolf Hitler aliye ua watu milioni kumi na mimi niliye mdanganya konda wa Ubungo-Kariakoo kwamba ni mwanafunzi, nikalipa nauli ya mwanafunzi, wote tumetenda dhambi sawa?

Ote sawa kwa Mungu
 
Amri ya NNE kutoka/ Exodus 20:8-11
Labda niulize swali kwanini kwenye katekisimu hizi amri ziko changed wakati biblia nyingi zinataja hizo amri zote?
Pia amri ya pili yaani fungu la 4-6 haifatwi na kina fulani fulani.
Wanakubali kuwa Yesu alifufuka siku ya Jumapili ambayo ni siku ya kwanza according to the bible je kwanini hawasali siku ya Saba?

Msabato=Jehovawitness=Mafarisayo=
Are cult religions..
 
kusali jumamoja,mbili n.k hakumaanishi lolote mkuu,kila cku ni cku ya mungu,hzo cku zisikuchanyanye mkuu,mbinguni utaenda hata ukisali juma4 badala ya ijumaa ama jumapili,cha muhimu utende yaliyo mema tu broo

Masalia huyo(mfarisayo) si dhani kama atakuelewa..
 
nendeni makanisani kwenu mukaambiane hayo.
toeni hoja zenu za kidini hapa ndani.

thea4,malengo yako makubwa ktk thread yako ni nini?
1.Kutuonesha mpangilio ulio sahihi wa amri hizo kwa mujibu wa uelewa wako?
AU
2.Kutufahamisha kuwa hujawahi kuzini?

maji matamu na machungu....kisima kile kile!
 
Someni Biblia mpate maalifa, msiwe msikurupuke kwa maneno ya kukalili toka kwa wachungajiwenu wa upako sijui wanapakwa nini, neno ambalo halipo hata kwenye neno la Mungu,mtapakwa sana ujinga
 
...Kwa RC huwa wana a) Amri za Mungu (10) na
b) Amri za Kanisa (6)
 
Neno na bangi wapi na wap kwanza umeshawatukana binadam wenzako waloumbwa na mungu huyohuyo harafu unakuja na neno hapa uko rikizo nn huna cha kufanya? Kamtembelee bibi yako shamba acha kuganda mjini kama wabunge.
 
Ninapo msikia padri, mchungaji, ama muumini wa dini ya kikristo anaizungumzia amri ya sita akimaanisha usizini huwa namuhesabu kama mtu asiyesoma biblia kwa ufasaha. ( ANAIPAPASA ). kulingana na biblia, USIZINI ni AMRI YA SABA na sio AMRI YA SITA kama wengi walivyo zoea. Ushahidi huu hapa.

EXODUS ( KUTOKA )
The Ten Commandments

20 And God spoke all these words:

AMRI YA KWANZA.

[SUP]2 [/SUP]“I am the Lord your God, who brought you out of Egypt, out of the land of slavery.
[SUP]3 [/SUP]“You shall have no other gods before[SUP][a][/SUP] me.

AMRI YA PILI



[SUP]4 [/SUP]“You shall not make for yourself an image in the form of anything in heaven above or on the earth beneath or in the waters below. [SUP]5 [/SUP]You shall not bow down to them or worship them; for I, theLord your God, am a jealous God, punishing the children for the sin of the parents to the third and fourth generation of those who hate me, [SUP]6 [/SUP]but showing love to a thousand generations of those who love me and keep my commandments.

AMRI YA TATU



[SUP]7 [/SUP]“You shall not misuse the name of the Lord your God, for the Lord will not hold anyone guiltless who misuses his name.

AMRI YA NNE


[SUP]8 [/SUP]“Remember the Sabbath day by keeping it holy. [SUP]9 [/SUP]Six days you shall labor and do all your work,[SUP]10 [/SUP]but the seventh day is a sabbath to the Lord your God. On it you shall not do any work, neither you, nor your son or daughter, nor your male or female servant, nor your animals, nor any foreigner residing in your towns. [SUP]11 [/SUP]For in six days the Lord made the heavens and the earth, the sea, and all that is in them, but he rested on the seventh day. Therefore the Lordblessed the Sabbath day and made it holy.

AMRI YA TANO


[SUP]12 [/SUP]“Honor your father and your mother, so that you may live long in the land the Lord your God is giving you.

AMRI YA SITA


[SUP]13 [/SUP]“You shall not murder.

AMRI YA SABA

[SUP]14 [/SUP]“You shall not commit adultery.

AMRI YA NANE


[SUP]15 [/SUP]“You shall not steal.

AMRI YA TISA


[SUP]16 [/SUP]“You shall not give false testimony against your neighbor.

AMRI YA KUMI

[SUP]17 [/SUP]“You shall not covet your neighbor’s house. You shall not covet your neighbor’s wife, or his male or female servant, his ox or donkey, or anything that belongs to your neighbor.”



KWA MABTIKI HII, SIJAWAHI KUVUNJA AMRI YA SITA TANGU NIZALIWE.

Mkuu ukiangalia kwa makini utagundua kwa mujibu wa kanisa takatifu la Roma wamechakachua hizi 10 commandments kabisa. Hiyo uliyosema na ile ya pili wameidelete. Kwa kifupi ukiangalia hicho kipande cha
[SUP]4 [/SUP]“You shall not make for yourself an image in the form of anything in heaven above or on the earth beneath or in the waters below. [SUP]5 [/SUP]You shall not bow down to them or worship them; for I, the Lord your God, am a jealous God, punishing the children for the sin of the parents to the third and fourth generation of those who hate me, [SUP]6 [/SUP]but showing love to a thousand generations of those who love me and keep my commandments.

utagundua kua hii imechomolewa yote haipo katika amri kumi zao. Nadhani walitafuta loop hole ya kuuza sanamu za bikira Maria na nyinginezo.

Biblia inasema, Mungu ni roho na wote wamubuduo wanapaswa kumwabudu katika roho na kweli. Ukicheki na hiyo amri ya pili it makes all senses that we can not worship any graven image under the sun in place of God. Period.

Thou shalt know the truth and the truth shall set thee free.
 
Hosea 4:6==WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA
 
Wako ole hata ukitaman ushavunja....hamisha 2 mpk iwe ya 1000000000
 
Usipotoshe ndugu! hiyo uliyoweka kama amri ya kwanza na hiyo ya pili ni fungu moja, kwamba USIWE NA MUNGU/MIUNGU MINGINE isipokuwa Mungu YEHOVA! hiyo amri yako ya saba inakuwa kama ilivyo Amri ya Sita! kwa ufupi hiyo uliyofanya Amri ya Pili ni ufafanuzi wa Amri ya Kwanza!

bora umwambie huyo anaeangalia biblia akaitafsiri kwa jicho badala ya moyo,mjinga sana,inaelekea kakurupuka hajawahi hata kukanyaga kanisani,inshort ni mpumbavu,fine hata kama hajavunja bt anajijua mwenyewe
 
Back
Top Bottom