Sijawahi kusikia mbilikimo kafariki

Sijawahi kusikia mbilikimo kafariki

Nimewahi shuhudia mmoja ..kazikwa chang'ombe.
 
Wakuu kwema?

Kama nitakuwa nakosea,naomba mnisamehe in advance.

Kiukwel sijawahi kuhudhuria au kuskia msiba wa mbilikimo.

Hivi huwa wanakufa,na kama wanakufa huwa wanazikwa kawaida kama binadamu wengine au?
kwenye matangazo ya vifo wanatajaga urefu wa marehemu?
 
Uongo,,hao mbilikimo ndio hula watu...ninaishi na Jamaa mkongo ambae kufika kwao lazima upite kijiji cha hawa mbilikimo huko Congo wanaitwa wambote achana nao hawa Jamaa kwa ukorofi na uchawi...unaambiwa wanatekaga treni wanafanya fujo.
Ni timing wakikuwahi wanakula na wao ukiwa wahi una wala ipo hivyo
 
Uongo,,hao mbilikimo ndio hula watu...ninaishi na Jamaa mkongo ambae kufika kwao lazima upite kijiji cha hawa mbilikimo huko Congo wanaitwa wambote achana nao hawa Jamaa kwa ukorofi na uchawi...unaambiwa wanatekaga treni wanafanya fujo.
Mkuu Bujibuji si muongo,hao walikuwa wanaliwa na waasi kwa imani potofu kuwa wataweza kusurvive porini.
 
Wanakufa kama kawaida....uliza watu walioishi kasulu miaka ya 2000 huko kuna mbilikimo aliyeikuwa akiitwa TOMA alikuwa mtoza ushuru au mtangaza matangazo ya serikali na zile spika za kuongelea mdomoni....Jamaa alifariki kwa ugonjwa kama binadamu Wa kawaida na akazikwa,hao ni binadamu kama sisi tu.
Sio Zakayo!?
Wapumzike kwa Amani..

Zakayo na Toma

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mnaosema mbilikimo wakorofi waongo.
Mbilikimo mtu poa Sana, Ila ukimchokoza mziki wake ujiandae, nimebahatika kuwa nao jirani mikoa 3 tofauti. Na nikajenga urafiki nao.
 
Back
Top Bottom