Sijawahi kuona Padre kilema

Sijawahi kuona Padre kilema

Navyojua upadre ni kutoa huduma...unapaswa kuhudumia watu kiroho na kimwili popote pale ulipo au unapotumwa na kanisa.mfano unaweza tumwa vitani ukatoe sakrament au sehemu zenye shida.. ukiwa na ulemavu kwa namna moja au nyingine utahitaji kuangaliwa au kupatiwa huduma za tofauti ambazo zinaweza kukufanya usitoe huduma kwa kiwango kinachostahili...imagine, kuhudumia wagonjwa, walemavu, vitani, kuendesha misa inahitaji uwe fiti ili uyafanye hayo majukumu kikamilifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Navyojua upadre ni kutoa huduma...unapaswa kuhudumia watu kiroho na kimwili popote pale ulipo au unapotumwa na kanisa.mfano unaweza tumwa vitani ukatoe sakrament au sehemu zenye shida.. ukiwa na ulemavu kwa namna moja au nyingine utahitaji kuangaliwa au kupatiwa huduma za tofauti ambazo zinaweza kukufanya usitoe huduma kwa kiwango kinachostahili...imagine, kuhudumia wagonjwa, walemavu, vitani, kuendesha misa inahitaji uwe fiti ili uyafanye hayo majukumu kikamilifu

Sent using Jamii Forums mobile app
Suala la urijali je!? Linazingatiwa!??
 
Mbona mapadre wengi wengi wamefeli form six wakaona upadre ndo option pekee ya kukimbilia? Kuna rafiki yangu padre ana division four ya hgl lakini ni padre. Je huyo naye utasema ni wito?
Ww ni mwendawazim lkn pia ikiwezekana ni mpumbavu hakuna padre mbumbumbu hata siku moja ma wala kanisa halina itaratibu huo lbd kama hao wa upande wa pili tatizo mnakalilishwa wajinga nyie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusali kwangu kote hapa duniani sijawahi kukutana na padre kilema. Au ni makanisa ninayo sali tuu? Je nikigezo kimojawapo cha kuwa Padre?

Kulingana na sheria za kanisa (code of canon law ) kilema cha aina yeyote ni mojawapo ya impediments zinazomzuhia mbatizwa mwanaume kuwa padre. ikitokea padre akapata kilema akiwa tayari padre..... au hata akipata ukichaa anabaki kuwa padre halali wa kanisa katoliki.....hata wale ambao mnahaminishwa wameacha upadre bado ni mapadre halali wa kanisa katoliki... na katika mazingira maalum wanatoa huduma za kiroho halali!

Makanisa mahalia particular churches kama Tanzania au jimbo lolote linaweza kuweka impediments zake kwa mfano ktk jimbo kuu la Dar es Salaam ili uweze kuwa padre kwa sasa ni lazima upte ufaulu wa ama daraja la I au II tu katika kikao kimoja....huwa hakuna kureseat etc etc
 
Nakuambiaje huyo alipata ulemavu akiwa padre na si kabla ya kuwa padre....

Yani Upadre si chaka la kukimbilia eti kwa kuwa upo unfitt kwenye jamii basi ukimbilie upadre..hiyo ndio maana ya kujitoa sadaka..
kuna kifungu kwenye biblia kinasema walemavu wote motoni pamoja na wafi.aji
 
Ndio ni kigezo kimojawapo...Na pia hakuna padre hanithi(ashakum si matusi)

Kwanini...?

Upadre ni Sadaka(Sacrifice)...yani unajitoa mzima mzima kama ulivyo....Yani si una-opt kuwa padre kwasababu wewe ni mlemavu, au wewe audi.n...d ndio unakimbilia upadre..upadre ni Sadaka iliyosafi..ni kujitoa..bila kujibakiza..

Wajuzi watajazia nyama
Ukitaka kubarikiwa na Mungu mtolee sadaka iliyokamili isiyo na mapungufu.
Padre hutolewa sadaka altareni na wazazi wake ili nao wabarikiwe. Sasa watamtoleaje sadaka Mungu wao mali dhaifu?.
Ndivyo ilvyo, kilema mlemavu hawezi kuwa padre otherwise apate akiwa ktk utawa.
Ni taratibu za kiroho. Upadre ni sadaka kwa Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu usikufuru.
Mbele ya Mungu, mapungufu yako ya kimwili sio issue kabisa. Mungu akikuchagua, hakuna wa kupinga. Yeyote yule anaweza kupakwa mafuta. Ni mungu mwenyewe anaamua.

Unamjua Musa wewe?
Nenda kamsome halafu utagundua alikuwa na ulemavu gani.
Musa alikuwa na kigugugugugumizi na kithembe vyote kwa pamoja
 
Kusali kwangu kote hapa duniani sijawahi kukutana na padre kilema. Au ni makanisa ninayo sali tuu? Je ni kigezo kimojawapo cha kuwa Padre?
Mkuu hujaona hata wenye ulemavu wa macho wanaolazimika kutumia miwani na wale waliopoteza nywele kichwa kizima?
 
Back
Top Bottom