Sijawahi kuona kampuni mbovu kama Star Times

Sijawahi kuona kampuni mbovu kama Star Times

Sasa naona mnaiponda na DSTV...sasa kampuni ipi nzuri ..nachoka Mimi...
 
Hivi startimes huwa mnanunua au mnapewa bure? Maana siamini kama mtu na akili yako timam kabisa unaenda kununua startimes
Hata hiyo unayotumia wewe kuna mtu anaweza kuiona takataka.

Tusijipe umuhimu na kujiona miamba kwenye maisha ya wengine. Unachokihusudu wewe kuna mwingine anakiona kero
 
Hivi startimes huwa mnanunua au mnapewa bure? Maana siamini kama mtu na akili yako timam kabisa unaenda kununua startimes
Hata hiyo unayotumia wewe kuna mtu anaweza kuiona takataka.

Tusijipe umuhimu na kujiona miamba kwenye maisha ya wengine. Unachokihusudu wewe kuna mwingine anakiona kero
 
Back
Top Bottom