Sijawahi kumfikisha mwanamke kileleni

Sijawahi kumfikisha mwanamke kileleni

Natumaini jumapili ni njema kwenu wote.,
nimekuwa nikikumbwa na tatizo la kutomfikisha mwanamke kileleni
naombeni mnipe maujuzi ili niweze kumfikisha mwanamke yeyote yule kileleni.,
Tatizo la vijana wengi tuna pupa ya kufanya mapenzi ili tukojoe tu(wengi huamin ukikojoa ndo umefanya mapenzi) wskati sio kweli, ni vizuri wewe na mpenzi wako mkapata mda wa kutosha wa kujiandaa kabla ya kufanya mapenzi. Unaweza mkachezeana na kuhakikisha unakuwa mtundu wa kuchezea vizuri sehemu nyeti za mwili wa mwanamke kama kumnyonya masikio, kitovu,kinembe na sehem nyingine ambazo zitamfanya mpenzi wako ashikwe na hamu ya kufanya mapenzi( wanaume wengi tuna kinyaa kwenye mapenzi hii ina cost pia). Baada ya kumtomasa vilivyo had uhakikisha hajiwezi habadan apo ndo unawez jaribu kuingiza mashine taratibu sio unasugua harak harak atapoteza hisia, baada ya dakika kadhaa lazima akojoe kwa utamu.
 
asante kwa ushauri Nyani Ngabu
Tatizo linaweza hata lisiwe upande wako kwani yasemekana kuna idadi kubwa tu ya wanawake wenye kusumbuliwa na Anorgasmia.

Pia, kufika huko si lazima kusababishwe na kujamiiana/ mpenyezo (intercourse). Na tafiti zinaonyesha kuwa ni theluthi moja tu ya wanawake ambao hufika huko kupitia kujamiiana. Theluthi ingine hufika huko mara kwa mara wakati wa kujamiiana lakini huhitaji jitihada za ziada. Na theluthi ingine hufika huko kutokana na stimulation ya vidole au mdomo .

Vilevi
 
Habari yako kijana...

Hadi sasa ushalala na wanawake wangapi?

Huwa inakuchukua muda gani tangu unapoingiza uume wako ukeni hadi kumwaga manii?

Ni maandalizi gani huwa unamfanyia mwanamke kabla hujamlala?

Zaidi ya kuingiza na kutoa uume wako kwenye tundu la uke, je ni utundu gani mwingine uujuao?

-nimeshalala na wanawake 10.
-natumia dk 5
-kumtomasa na kumnyonya sehemu mbalimbali kama vile chuchu,masikio,mapaja shingo na kitovu
-sina utundu mwingine ninaoujua

watu8
 
Last edited by a moderator:
Natumaini jumapili ni njema kwenu wote.,
nimekuwa nikikumbwa na tatizo la kutomfikisha mwanamke kileleni
naombeni mnipe maujuzi ili niweze kumfikisha mwanamke yeyote yule kileleni.,

Kila kazi ina watu wake kaka, nakushauri uende Moshi kawachukue wapagazi watakufanyia hiyo kazi kwa umakini mkubwa, watamfikisha kileleni huyo mwanamke wako.
 
Natumaini jumapili ni njema kwenu wote.,
nimekuwa nikikumbwa na tatizo la kutomfikisha mwanamke kileleni
naombeni mnipe maujuzi ili niweze kumfikisha mwanamke yeyote yule kileleni.,

Kilele gani we jamaaa?vilele vipo vingi bwana.
 
sijaona mtu mwenye msaada kwa huyu jamaa, wengi ni maneno ya kufurahisha, ngoja mimi nijaribu, kaka mwanamke anatakiwa aandaliwe vizuri, usiwe na haraka nayo, itengeneze K kama unatengeneza lishe ya mtoto, kisha ndio uile na kwenye kuila usifakamie kama unasukuma gari, piga kwa ustadi na ufundi wa maeneo hatarishi, yani utamfikisha kilimani na tena mpaka atatoa yale majimaji yanayotoka kama bomba, yani RAHAAA SAANAA!
 
Chumvini unaendaga? Zama chumvini, nyonya "king'amuzi", utaona tu "signal strength" zake zikavyopanda...tumia muda wako mwingi huko bondeni kwa madiba uone kama mtoto hajafika climax....acha kinyaa mkuu
Acha kudanganya wenzio. Kama inafanikiwa kwako haimaanishi inafanikiwa kwa wanawake wote. wanawake wengine wakiguswa huko badala ya kukonsetreti kwenye starehe anabana misuli anasubiri saa ngapi atang'atwa, hana amani, matokeo yake kunakauka kabisa! Wengine wanapiga kelele za shangwe kumbe anajali tu ego yako - anataka ujione mshindi kumbe huna lolote, misifa tu! Kila mtu ni wa kipekee. Chukua muda wako.
 
Back
Top Bottom