Da jua
Member
- Feb 19, 2014
- 93
- 15
Safi sana mendelee hvyo hvyo kubaki njia kuu.
Sawasawa
Safi sana mendelee hvyo hvyo kubaki njia kuu.
We muda wote unawaza kujilipua tu,utamfikishaje mtu kileleni.
Natumaini jumapili ni njema kwenu wote.,
nimekuwa nikikumbwa na tatizo la kutomfikisha mwanamke kileleni
naombeni mnipe maujuzi ili niweze kumfikisha mwanamke yeyote yule kileleni.,
Tatizo linaweza hata lisiwe upande wako kwani yasemekana kuna idadi kubwa tu ya wanawake wenye kusumbuliwa na Anorgasmia.
Pia, kufika huko si lazima kusababishwe na kujamiiana/ mpenyezo (intercourse). Na tafiti zinaonyesha kuwa ni theluthi moja tu ya wanawake ambao hufika huko kupitia kujamiiana. Theluthi ingine hufika huko mara kwa mara wakati wa kujamiiana lakini huhitaji jitihada za ziada. Na theluthi ingine hufika huko kutokana na stimulation ya vidole au mdomo .
Vilevile, kama mwanamke hafiki kileleni haina maana kuwa wewe ni mchovu kwenye hayo makitu. Kumbuka, wewe ni mshirika tu. Hata yeye ana mchango wake, tena mkubwa tu kuzidi wa kwako, wa kufikia hicho kilele. Kwa hiyo, cha muhimu zaidi ni mawasiliano. Yeye akuambie anapenda nini, akuambie sehemu nyegereshi zake zilipo, na wewe usichoke wala kuona haya kumuuliza ufanye nini na umguse wapi.
Halafu, nijuavyo ni kwamba mwanamke si lazima afike kileleni ili kufurahia hilo tendo. Ule ukaribu tu wa miili kugusana wakati wa kujamiiana, ni jambo ambalo baadhi huwa wanalifurahia hata kama wasipopasua mbegu.
Wangu kila akipizi mara moja ujue mm ni mara tatu kwenda mbele....nampenda mume wangu.
Unaonaje ukianzisha seminaa za kusaidia vijana? Maelezo yako yamejitosheleza sana.
Wangu kila akipizi mara moja ujue mm ni mara tatu kwenda mbele....nampenda mume wangu.
Mpe basi mwenzio maujanja anayotumia mmeo ili naye aweze kumfikisha mkewe!
Natumaini jumapili ni njema kwenu wote.,
nimekuwa nikikumbwa na tatizo la kutomfikisha mwanamke kileleni
naombeni mnipe maujuzi ili niweze kumfikisha mwanamke yeyote yule kileleni.,
Wangu kila akipizi mara moja ujue mm ni mara tatu kwenda mbele....nampenda mume wangu.
Akae tu na mkewe waambizane.....huduma nayopewa mm inaweza isimfae mkewe...amuulize tu akishikwa wap anashikika mazungumzo muhimu
Kwa maelezo haya nadhani wengi umewafumbua macho....ni somo tosha...Tatizo linaweza hata lisiwe upande wako kwani yasemekana kuna idadi kubwa tu ya wanawake wenye kusumbuliwa na Anorgasmia.Pia, kufika huko si lazima kusababishwe na kujamiiana/ mpenyezo (intercourse). Na tafiti zinaonyesha kuwa ni theluthi moja tu ya wanawake ambao hufika huko kupitia kujamiiana. Theluthi ingine hufika huko mara kwa mara wakati wa kujamiiana lakini huhitaji jitihada za ziada. Na theluthi ingine hufika huko kutokana na stimulation ya vidole au mdomo .Vilevile, kama mwanamke hafiki kileleni haina maana kuwa wewe ni mchovu kwenye hayo makitu. Kumbuka, wewe ni mshirika tu. Hata yeye ana mchango wake, tena mkubwa tu kuzidi wa kwako, wa kufikia hicho kilele. Kwa hiyo, cha muhimu zaidi ni mawasiliano. Yeye akuambie anapenda nini, akuambie sehemu nyegereshi zake zilipo, na wewe usichoke wala kuona haya kumuuliza ufanye nini na umguse wapi.Halafu, nijuavyo ni kwamba mwanamke si lazima afike kileleni ili kufurahia hilo tendo. Ule ukaribu tu wa miili kugusana wakati wa kujamiiana, ni jambo ambalo baadhi huwa wanalifurahia hata kama wasipopasua mbegu.
Jirani....nakusalimia tu...Habari yako kijana...Hadi sasa ushalala na wanawake wangapi?Huwa inakuchukua muda gani tangu unapoingiza uume wako ukeni hadi kumwaga manii?Ni maandalizi gani huwa unamfanyia mwanamke kabla hujamlala?Zaidi ya kuingiza na kutoa uume wako kwenye tundu la uke, je ni utundu gani mwingine uujuao?
Kwahiyo huwa unawafikisha wanaume tu?
Inawezekana watalii wa kike ni wavivu kupanda milima mirefu!
0713 au?