sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,852
Duh unahisi kama umejidhalilisha...Na hua inauma kweli na kutia aibu..nlikua naona aibu siku mbili nzima
Duh unahisi kama umejidhalilisha...Na hua inauma kweli na kutia aibu..nlikua naona aibu siku mbili nzima
hivi kupiz ni kufika kileleni!
Sasa si umsaidiaje kijana mwenzio wewe hua unafikishwaje ili ajue ama ikiwezekana jaribu upange muonane ili umpe mafunzo kwa vitendo,kizuri kula na mwenzio dada.
kwani ugaidi umeacha si lisema kuna mabikra 73 ahera sasa utawabikiri vip kama hata kufikisha ishu
Wangu kila akipizi mara moja ujue mm ni mara tatu kwenda mbele....nampenda mume wangu.
Natumaini jumapili ni njema kwenu wote.,
nimekuwa nikikumbwa na tatizo la kutomfikisha mwanamke kileleni
naombeni mnipe maujuzi ili niweze kumfikisha mwanamke yeyote yule kileleni.,
we una genye za kutosha
Inakua shida maana unajua mtu hasemi lkn unajua hapa kabisa nimemchosha tu mtu..especialy km mtu umefanya kwa pupa na kutumia nguvu nyingi bila utaalam kidogo..u know that sisterDuh unahisi kama umejidhalilisha...
Nimekupata...Inakua shida maana unajua mtu hasemi lkn unajua hapa kabisa nimemchosha tu mtu..especialy km mtu umefanya kwa pupa na kutumia nguvu nyingi bila utaalam kidogo..u know that sister
No ni huduma tu
kutoka kwako ama kwa boy wako, kama ni kwako unaweza m surprise jamaa?
Kijiji cha katelero unakijuwa?
Chumvini unaendaga? Zama chumvini, nyonya "king'amuzi", utaona tu "signal strength" zake zikavyopanda...tumia muda wako mwingi huko bondeni kwa madiba uone kama mtoto hajafika climax....acha kinyaa mkuuNatumaini jumapili ni njema kwenu wote.,
nimekuwa nikikumbwa na tatizo la kutomfikisha mwanamke kileleni
naombeni mnipe maujuzi ili niweze kumfikisha mwanamke yeyote yule kileleni.,
Natumaini jumapili ni njema kwenu wote.,
nimekuwa nikikumbwa na tatizo la kutomfikisha mwanamke kileleni
naombeni mnipe maujuzi ili niweze kumfikisha mwanamke yeyote yule kileleni.,