Sijawahi kukojoa tangu nianze kusex

Mkuu Siku Ukipata mdada Toka JF utakojoa sana sana,nakuhakikishia!
habarini?
mimi ni binti wa miaka 20 tatizo langu ni kwamba tangu nianze kufanya mapenzi nikiwa na umri wa miaka 18 sijawahi kukojozwa wala kufika kileleni hata kama nitaandaliwa vizuri lakin bado sijui ndo inakuaje hadi mtu anakojoa. naombeni msaada jamani nifanyeje ili niweze kukojoa wakati wa tendo au kama kuna dawa ni ipi niweze kutumia.
 
Wakipatikana kama wewe kumi tu humu......basi jf kwisha habari yake, by the way umenifanya nionyeshe jino la 31 nje.
Hii tabia siipendi kweli mtu anaomba kingine ninyi mnampa kingine yeye anataka kukojozwa hajakwambia anataka kusoma tujifunze kuheshimu hili hata kama ujinga tumpe tu
 
habarini?
mimi ni binti wa miaka 20 tatizo langu ni kwamba tangu nianze kufanya mapenzi nikiwa na umri wa miaka 18 sijawahi kukojozwa wala kufika kileleni hata kama nitaandaliwa vizuri lakin bado sijui ndo inakuaje hadi mtu anakojoa. naombeni msaada jamani nifanyeje ili niweze kukojoa wakati wa tendo au kama kuna dawa ni ipi niweze kutumia.
Upo mkoa gani?
 
Bidada kwa mm navyojua hakuna dawa itakayo kupelekea ww kukojoa,ila njia ni hii unapofanya sex na jamaa yako mawazo yako na hisia zako ziwe palepale,inawezekana unapofanya sex unawaza pengine au hisia zako zipo kwengne au unakuwa kama unauoga uoga hv acha na hayo unafanya sex mawazo yako na hisia zako ziwe kwenye hilo tendo tena hats jarib hata kwa kuigiza kama mwenzio anakukuna vzuri jilize lize jigunishe gunishe fanya mbwembwe kibao, hata kama huon utam,nakwambia ipo siku tu utajiona tofauti,utasikia utamu na utakojoa,tena utamu huo bhana haudumu hata dk 1 ila ni balaa unaweza ukamng'oa kichwa jamaa,yaan hata yy ataona tofauti na siku zote,hata mm ilikuwa kama ww nilishauriwa hivyo,nikazingatia kweli ilitokea kwangu hadi leo shida hiyo haipo
 
Bidada kwa mm navyojua hakuna dawa itakayo kupelekea ww kukojoa,ila njia ni hii unapofanya sex na jamaa yako mawazo yako na hisia zako ziwe palepale,inawezekana unapofanya sex unawaza pengine au hisia zako zipo kwengne au unakuwa kama unauoga uoga hv acha na hayo unafanya sex mawazo yako na hisia zako ziwe kwenye hilo tendo tena hats jarib hata kwa kuigiza kama mwenzio anakukuna vzuri jilize lize jigunishe gunishe fanya mbwembwe kibao, hata kama huon utam,nakwambia ipo siku tu utajiona tofauti,utasikia utamu na utakojoa,tena utamu huo bhana haudumu hata dk 1 ila ni balaa unaweza ukamng'oa kichwa jamaa,yaan hata yy ataona tofauti na siku zote,hata mm ilikuwa kama ww nilishauriwa hivyo,nikazingatia kweli ilitokea kwangu hadi leo shida hiyo haipo
Ushauri mzuri huu aufuate

Kwa hiyo wewe ukipigwa nao unakojoa vizuri eeeh?
 
Back
Top Bottom