Sijawahi kukojoa tangu nianze kusex

Sijawahi kukojoa tangu nianze kusex

Utaua wenzio, hahahaha
Jitahidi nusu saa kabla ya kuanza kunywa maji Lita nane na roho ndio uendelee na sex hakika nyumba siku hiyo itageuka bahari kwa kojo utakalo toa...na huo ndio utakuwa mwsho wa tatizo lako.....wengi walio Fanya hiki nlicho kuambia wamefanikiwa.....
 
daaahh JF imeingiliwa .. kumbe baadhi ya members ni wajukuu wetu humu "'!!!

Taifa linapotea hili kijana wa miaka 20 analilia kuujua utamu wa kukojozwa " Badala ya kutunisha msuli kwenye masomo "... CCM OYEEERR
 
habarini?
mimi ni binti wa miaka 20 tatizo langu ni kwamba tangu nianze kufanya mapenzi sijawahi kukojoa wala kufika kileleni hata kama nitaandaliwa vizuri lakin bado sijui ndo inakuaje hadi mtu anakojoa. naombeni msaada jamani nifanyeje ili niweze kukojoa wakati wa tendo au kama kuna dawa ni ipi niweze kutumia.
Hayo mambo ya PM mkuu,,,njoo pm tuyajenge,,,,,
 
Hii dunia jamani ,20yrs unalilia kukojozwa. This is not fair[/s QUOTE]hahaaa yale ya mussa na firauni haya stajibishi wala kushangaza tena".. haya yanayo jiri katika nyakati hizi ndio baba lao sasa
 
Back
Top Bottom