Sijawahi kukojoa tangu nianze kusex

Sijawahi kukojoa tangu nianze kusex

habarini?
mimi ni binti wa miaka 20 tatizo langu ni kwamba tangu nianze kufanya mapenzi nikiwa na umri wa miaka 18 sijawahi kukojozwa wala kufika kileleni hata kama nitaandaliwa vizuri lakin bado sijui ndo inakuaje hadi mtu anakojoa. naombeni msaada jamani nifanyeje ili niweze kukojoa wakati wa tendo au kama kuna dawa ni ipi niweze kutumia.
Sasa huyo mtoto ukimzaaje?
 
habarini?
mimi ni binti wa miaka 20 tatizo langu ni kwamba tangu nianze kufanya mapenzi nikiwa na umri wa miaka 18 sijawahi kukojozwa wala kufika kileleni hata kama nitaandaliwa vizuri lakin bado sijui ndo inakuaje hadi mtu anakojoa. naombeni msaada jamani nifanyeje ili niweze kukojoa wakati wa tendo au kama kuna dawa ni ipi niweze kutumia.
WAUNGWANA HUWA WANASEMA HIVIIII.... KWA UMRI ULIONAO BADO UJAJUA KABISA UTAMU WA MAPENZI UNAFANYA TU KWA ASHKI HAMA KWA KUIGA... UTAMU UTAUJUA BAADAE UKISHAANZA KUFIKIA UMRI WA MIAKA 40 HIVI
 
Huyu anshida ya kukojozwa tu ama alikuwa anataka watu wamfuate pm kizembe tulizeni mbunye waza pesa maisha haya
 
Bado sana kufikia hiyo hatua lakini pia ulianza mahusiano yale ya kuvuana chupi na kuchomekana...unahitaji upate mtu aliyekuzidi umri kama mimi akulee na kukufundisha mpaka uweze
BTW kama umeng'olewa gear leaver ama kama una experience ya kubakwa basi vinaweza kuchangia tatizo
Broh kwa hisia za reggae kabisa
 
Pole bi dada kwani umekeketwa? Haiwezekana umeanza mapenz mapema namna hiyo na asitokee hata mtu mmoja wa kubahatisha kukufanya ukojoe.
 
Back
Top Bottom