Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka32 lakini sijawahi kusex na sitegemei kufanya hivyo mpaka nitakapooa,je nitapata madhara yoyote maana nasikia washkaji mtaan wanasema eti kuna madhara,naamini humu nitapata majibu mazuri zaidi ukizingatia kuwa sina hata mpenzi kwa sasa
Kifanyio gani ulichomaanisha?Au unamaanisha condom
Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka32 lakini sijawahi kusex na sitegemei kufanya hivyo mpaka nitakapooa,je nitapata madhara yoyote maana nasikia washkaji mtaan wanasema eti kuna madhara,naamini humu nitapata majibu mazuri zaidi ukizingatia kuwa sina hata mpenzi kwa sasa
Huko kujichua sijawah coz ninamwogopa Mungu ndio maana nimeamua kutofanya hivyo mpaka nioe,na ninaamin atanipa mke mwema ambaye hajawai kufanya hayo mambo,kwa sababu kwenye bible Mungu amesema ukiniheshim nami ntakuheshimu
Hahahahaha The Great ThinkersJitahidi ufanye kwanza, usipofanya unaweza kufanywa wewe!
Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka32 lakini sijawahi kusex na sitegemei kufanya hivyo mpaka nitakapooa,je nitapata madhara yoyote maana nasikia washkaji mtaan wanasema eti kuna madhara,naamini humu nitapata majibu mazuri zaidi ukizingatia kuwa sina hata mpenzi kwa sasa