Sheilerz
Member
- Dec 21, 2017
- 69
- 87
Habari za mapumziko ya Christmas, mara nyingi nikikaa na marafiki wa kike hata kiume katika story za mahusiano wengi wanalalamika kuachwa, kuachwa, kuachwa, wa kuacha ni wachache sana..sasa kati ya walioacha na mimi nipo..ila nimekuwa na mahusiano kadhaa lakini sijawahi kuachwa mimi huwa naacha tu. Na sababu zangu kuacha ni Uongo tu..mi ukinicheat sikuachi ila kudanganywa uwiiii namong'onyoka kabisa...niliowaacha wote bado wananikubali japo wameshakubaliana na hali ya kumove maana maisha lazima yaendelee..
Wewe je umeshaacha au kuachwa kwa sababi zipi? Na je bado unamkubali aliyekuacha au uliyemuacha japo maisha yako mengine yanaendelea???
Wewe je umeshaacha au kuachwa kwa sababi zipi? Na je bado unamkubali aliyekuacha au uliyemuacha japo maisha yako mengine yanaendelea???