Mchumia Rungu
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 1,434
- 821
- Thread starter
- #21
Utahamia mtandao gani wakati yote ina matatizo yanayofanana?
Hahahahaha! Mkuu mpaka sasa naona ni nafuu kidogo ya Vodacom maana hata mawasiliano haya nafanya kupitia Vodacom. Hawa wenye bure, ni bure kabisa!