saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,173
- 6,156
Airtel katika bando la internet si wezi tu ni majambazi yasiyo na haya. Nchi hii wananchi wanaibiwa, wananyanyaswa hakuna mtetezi.
Wakubwa hawafanyiwi hivi hawawezi kustuka. TCRA wako pale, waziri yuko pale hawana msaada kwa wananchi. Unaweka bando hata hujatumia unaanza kupokea msgs kuwa bando lako la internet limeisha, maumbwa utafikiri wanakujali kumbe mashetani yasiyo na haya.
Wameona watu wengi wanatumia internet wakawekeza uwizi wao humo. Kwanza zile messages zao ni kero, kwanini ulazimishwe huduma usiyohitaji? Pili wakimaliza kuiba bando lako wanaenda kutumia salio lako kwa nguvu bila ridhaa yao, huu ni ubakaji wa rasilimali ya mtu.
Nani wa kutusaidia? Sijawahi kuwa na imani na Nnape, labda mh. Waziri mkuu. Mbona nchi za watu upuuzi huu siyo rahisi, kwanini Tanzania?
Wakubwa hawafanyiwi hivi hawawezi kustuka. TCRA wako pale, waziri yuko pale hawana msaada kwa wananchi. Unaweka bando hata hujatumia unaanza kupokea msgs kuwa bando lako la internet limeisha, maumbwa utafikiri wanakujali kumbe mashetani yasiyo na haya.
Wameona watu wengi wanatumia internet wakawekeza uwizi wao humo. Kwanza zile messages zao ni kero, kwanini ulazimishwe huduma usiyohitaji? Pili wakimaliza kuiba bando lako wanaenda kutumia salio lako kwa nguvu bila ridhaa yao, huu ni ubakaji wa rasilimali ya mtu.
Nani wa kutusaidia? Sijawahi kuwa na imani na Nnape, labda mh. Waziri mkuu. Mbona nchi za watu upuuzi huu siyo rahisi, kwanini Tanzania?