Sijasoma Namba kwa sababu hizi

Sijasoma Namba kwa sababu hizi

Usidhani mambo lelemama kujiajiri si rahisi. Mimi nimejiajiri na nimepiga hatua kiasi fulani lakini naweza sema hii si kazi rahisi.

Vijana wasilaumiwe. Mazingira ya business Tz yanachangamoto lukuki.

Mwisho, pamoja na changamoto watu wasikate tamaa isee maana ukianza kuopoga unaanza kukifuata kifo taratibu. Fanya jambo unalodhani utaweza changamoto zake. Pia kumbuka kina cha maji hakipimwi kwa mguu
 
We enjoy ila ujue siku yako na wewe ipo maana kila mtu lazima aisome Namba... Nchi huning'inia kama mzani tu pande moja ikizidi nyingine hushuka chini na ile ikijazwa hushuka chini...

Unaposema ardhi ni nzuri ina rutuba kuna waliolima hadi wanajuta... na wengine majuzi wamenyang'anwa Pump mazao yamezia Shambani.... Namba inasomeka... Nadhani mwaka 2020 hakuna atakayetizama Nyuma zaidi ya Kumuondosha Bwana Katiri
 
Km huisomi namba cc inatuhusu nn. SHINDWA WW CCM KWA JILA LA WATANZANIA
 
Mi nawashangaa wanaolia ukata wa hela wanaolia maisha magumu, wanaolia lia kuhusu kukosa ajira na mambo mengine mi ntawakosoa kwa haya,

1. UKATA WA HELA
jaman pigen kazi ,unataka hela ije wakati hufanyi kazi itatoka wapi,? Vijana ardhi Yetu INA rutuba , pia kuna fursa nyingi dunian siyo mpaka rais au serikali ikushike mkono na kukuonesha fursa zilipo,

2. AJIRA
Mtu kahitimu Chuo kikuu au vyuo vya kawaida yupo kwa baba yake na mama yake anasubiri ajira, wakati hao mama zake na baba hawakuwahi kuajiriwa popote na maisha wameyaweza mpaka kumsomesha huyo kijana , ila yeye kakaa tu anasubiri ajira uo si ustaarabu lazima utasoma Namba kwa namna hii tena za kirumi,

Sikuwahi zunguka zunguka na bahasha kisa ajira , kwasababu nilikuwa na maono kabla sijamaliza chuo enzi hizo nshaset mipango, pia hata walipo tangaza kazi nikiweka mguu naitwa kulingana na passmark zangu, SASA KWANINI NISOME NAMBA?

3. ELIMU
Mama ndalichako hebu kaza kaza kaza hatutaki watu wanaopata elimu dhaifu na kuanza kutamba mtaani wakati hawajui kuitumia , degree dhaifuuu yaan alafu anasema hawezi Fanya kazi za chini kisa degree ya STEMUCO? TEKU? JOKUKO? KIUKO?

Hapa lazima tujisahihishe, tuliteleza na sasa mama huyu anajaribu kurudisha heshima ya elimu lakin makanjanja wanalalamika,
Mbona sisi tulipita kwenye vigezo hivyo vigumu vigumu,? Na tukazisoma degree kwa ufasaha na entry qualification bila division one huendi Chuo kikuu direct, sasa hawa wamerudia mitihan mpaka baas wameunga unga mpaka basi, alafu unataka mteremko?? Soma za kigiriki sasa namba

4.BIASHARA
sijawahi kukwepa kodi na sikutegemea hela za magumashi nilisimama imara hata kabla ya magufuli kuwa rais hivyo anachofanya ni Muhim, ngoja watu wajue kuwa lazima utaratibu ufuatwe, Sasa nina kibali, nalipa kodi ninafuata taratibu zote, ntasomaje Namba?

5. UHURU WA HABARI NA KUJIELEZA
huwa nafuata mafundisho na taratibu kureport na kuhabarisha masual mbalimbali, istoshe sina utapiamlo unaosababisha kuota ndoto kama za lema, sasa hapo ntasomaje Namba?

6. NINATEGEMEA NGUVU ZANGU KUJIKWAMUA sitegemei serikali au yeyote hivyo dhana hii imenifanya nijione sawa kila muda hata aje rais gani, aweke mazingira yapi sitasoma Namba, maana ninafuata utaratibu,

Vijana faulu vizuri, jitume, kuwa mbunifu,fuata sheria ,unone kama utasoma Namba,
unaliwa na majini k wewe
 
Usidhani mambo lelemama kujiajiri si rahisi. Mimi nimejiajiri na nimepiga hatua kiasi fulani lakini naweza sema hii si kazi rahisi.

Vijana wasilaumiwe. Mazingira ya business Tz yanachangamoto lukuki.

Mwisho, pamoja na changamoto watu wasikate tamaa isee maana ukianza kuopoga unaanza kukifuata kifo taratibu. Fanya jambo unalodhani utaweza changamoto zake. Pia kumbuka kina cha maji hakipimwi kwa mguu
Yes hata ajira si lelemama, kwanza nakupongeza kwa kujiajiri mkuu, pili, hakuna jambo rahisi dunian
 
Mi nawashangaa wanaolia ukata wa hela wanaolia maisha magumu, wanaolia lia kuhusu kukosa ajira na mambo mengine mi ntawakosoa kwa haya,

1. UKATA WA HELA
jaman pigen kazi ,unataka hela ije wakati hufanyi kazi itatoka wapi,? Vijana ardhi Yetu INA rutuba , pia kuna fursa nyingi dunian siyo mpaka rais au serikali ikushike mkono na kukuonesha fursa zilipo,

2. AJIRA
Mtu kahitimu Chuo kikuu au vyuo vya kawaida yupo kwa baba yake na mama yake anasubiri ajira, wakati hao mama zake na baba hawakuwahi kuajiriwa popote na maisha wameyaweza mpaka kumsomesha huyo kijana , ila yeye kakaa tu anasubiri ajira uo si ustaarabu lazima utasoma Namba kwa namna hii tena za kirumi,

Sikuwahi zunguka zunguka na bahasha kisa ajira , kwasababu nilikuwa na maono kabla sijamaliza chuo enzi hizo nshaset mipango, pia hata walipo tangaza kazi nikiweka mguu naitwa kulingana na passmark zangu, SASA KWANINI NISOME NAMBA?

3. ELIMU
Mama ndalichako hebu kaza kaza kaza hatutaki watu wanaopata elimu dhaifu na kuanza kutamba mtaani wakati hawajui kuitumia , degree dhaifuuu yaan alafu anasema hawezi Fanya kazi za chini kisa degree ya STEMUCO? TEKU? JOKUKO? KIUKO?

Hapa lazima tujisahihishe, tuliteleza na sasa mama huyu anajaribu kurudisha heshima ya elimu lakin makanjanja wanalalamika,
Mbona sisi tulipita kwenye vigezo hivyo vigumu vigumu,? Na tukazisoma degree kwa ufasaha na entry qualification bila division one huendi Chuo kikuu direct, sasa hawa wamerudia mitihan mpaka baas wameunga unga mpaka basi, alafu unataka mteremko?? Soma za kigiriki sasa namba

4.BIASHARA
sijawahi kukwepa kodi na sikutegemea hela za magumashi nilisimama imara hata kabla ya magufuli kuwa rais hivyo anachofanya ni Muhim, ngoja watu wajue kuwa lazima utaratibu ufuatwe, Sasa nina kibali, nalipa kodi ninafuata taratibu zote, ntasomaje Namba?

5. UHURU WA HABARI NA KUJIELEZA
huwa nafuata mafundisho na taratibu kureport na kuhabarisha masual mbalimbali, istoshe sina utapiamlo unaosababisha kuota ndoto kama za lema, sasa hapo ntasomaje Namba?

6. NINATEGEMEA NGUVU ZANGU KUJIKWAMUA sitegemei serikali au yeyote hivyo dhana hii imenifanya nijione sawa kila muda hata aje rais gani, aweke mazingira yapi sitasoma Namba, maana ninafuata utaratibu,

Vijana faulu vizuri, jitume, kuwa mbunifu,fuata sheria ,unone kama utasoma Namba,
Hivi kwanini watu wanasoma?kwanini sasa hivi mtoto asipoenda shule mzazi anakamatwa?kwanini watu wanapoteza muda kusoma,Basi kila mtu akifikisha umri wa miaka 18 anatakiwa kuanza kujiajiri mwenyewe hakuna aja ya kusoma,maana unaweza kusomea unesi kwa garama nyinyi alaf ukajiajiri kulima matikiti wakati haujasomea mambo ya kilimo.
 
Pinga kwa hoja sio kwa matusi. Wewe eleza unaisoma nmba kwa namna gani? Mi naona kama kinyume chake. Nakumbuka miaka ya nyuma wizara ya ardhi unafika pale uanbabaika babaika , ukiuliza nenda chumbva na. fulani ukifika kuna maofisa wanne hujui hata yupi ndio umuulize. Jamani two months ago nimeenda wizara ya ardhi DSM. Nimefika daha unabofya mashine unachukua namba yako , unaitwa na kwenda kwa afisa makhsusi. Tatizo la mwezi lilitatuliwa kwa siku mbili tu! Jamani yaani huduma zimeboreka.
Kweli kabisa
 
Namba huwez soma kama unafuata utaratib
 
Hivi kwanini watu wanasoma?kwanini sasa hivi mtoto asipoenda shule mzazi anakamatwa?kwanini watu wanapoteza muda kusoma,Basi kila mtu akifikisha umri wa miaka 18 anatakiwa kuanza kujiajiri mwenyewe hakuna aja ya kusoma,maana unaweza kusomea unesi kwa garama nyinyi alaf ukajiajiri kulima matikiti wakati haujasomea mambo ya kilimo.
Siyo hoja
 
Mi nawashangaa wanaolia ukata wa hela wanaolia maisha magumu, wanaolia lia kuhusu kukosa ajira na mambo mengine mi ntawakosoa kwa haya,

1. UKATA WA HELA
jaman pigen kazi ,unataka hela ije wakati hufanyi kazi itatoka wapi,? Vijana ardhi Yetu INA rutuba , pia kuna fursa nyingi dunian siyo mpaka rais au serikali ikushike mkono na kukuonesha fursa zilipo,

2. AJIRA
Mtu kahitimu Chuo kikuu au vyuo vya kawaida yupo kwa baba yake na mama yake anasubiri ajira, wakati hao mama zake na baba hawakuwahi kuajiriwa popote na maisha wameyaweza mpaka kumsomesha huyo kijana , ila yeye kakaa tu anasubiri ajira uo si ustaarabu lazima utasoma Namba kwa namna hii tena za kirumi,

Sikuwahi zunguka zunguka na bahasha kisa ajira , kwasababu nilikuwa na maono kabla sijamaliza chuo enzi hizo nshaset mipango, pia hata walipo tangaza kazi nikiweka mguu naitwa kulingana na passmark zangu, SASA KWANINI NISOME NAMBA?

3. ELIMU
Mama ndalichako hebu kaza kaza kaza hatutaki watu wanaopata elimu dhaifu na kuanza kutamba mtaani wakati hawajui kuitumia , degree dhaifuuu yaan alafu anasema hawezi Fanya kazi za chini kisa degree ya STEMUCO? TEKU? JOKUKO? KIUKO?

Hapa lazima tujisahihishe, tuliteleza na sasa mama huyu anajaribu kurudisha heshima ya elimu lakin makanjanja wanalalamika,
Mbona sisi tulipita kwenye vigezo hivyo vigumu vigumu,? Na tukazisoma degree kwa ufasaha na entry qualification bila division one huendi Chuo kikuu direct, sasa hawa wamerudia mitihan mpaka baas wameunga unga mpaka basi, alafu unataka mteremko?? Soma za kigiriki sasa namba

4.BIASHARA
sijawahi kukwepa kodi na sikutegemea hela za magumashi nilisimama imara hata kabla ya magufuli kuwa rais hivyo anachofanya ni Muhim, ngoja watu wajue kuwa lazima utaratibu ufuatwe, Sasa nina kibali, nalipa kodi ninafuata taratibu zote, ntasomaje Namba?

5. UHURU WA HABARI NA KUJIELEZA
huwa nafuata mafundisho na taratibu kureport na kuhabarisha masual mbalimbali, istoshe sina utapiamlo unaosababisha kuota ndoto kama za lema, sasa hapo ntasomaje Namba?

6. NINATEGEMEA NGUVU ZANGU KUJIKWAMUA sitegemei serikali au yeyote hivyo dhana hii imenifanya nijione sawa kila muda hata aje rais gani, aweke mazingira yapi sitasoma Namba, maana ninafuata utaratibu,

Vijana faulu vizuri, jitume, kuwa mbunifu,fuata sheria ,unone kama utasoma Namba,

unataka kuniaminisha kwamba kila anaelalamika ni mpiga dili???
 
Mkuu mawazo yako mafupi sana

Wanaolialia kama wewe kuwa hawaisomi namba, basi ndo ujue wanaisoma kweli kweli

Watu wasioisoma namba wamepiga kimya we ni kujigamba na kujinasibu kuwa namba huisomi...

Na utaisoma kweli kweli.. Sympathy seeker!
 
102eae801d35929dab8574a70c113bd3.jpg
 
Mkuu mawazo yako mafupi sana

Wanaolialia kama wewe kuwa hawaisomi namba, basi ndo ujue wanaisoma kweli kweli

Watu wasioisoma namba wamepiga kimya we ni kujigamba na kujinasibu kuwa namba huisomi...

Na utaisoma kweli kweli.. Sympathy seeker!
Haha
 
Nyumbu wakati wa kikwete walizungusha mikono kutaka mabadiliko sababu ya maisha kuwa magumu,

Wakati wa magufuli wanalalamika tena pesa imepotea!!!

Bavicha mlishawahi kupata pesa lini??

Ngoja tusubili awamu hii, sijui watazungusha kiuno au makalio hatujui.
 
Nyumbu wakati wa kikwete walizungusha mikono kutaka mabadiliko sababu ya maisha kuwa magumu,

Wakati wa magufuli wanalalamika tena pesa imepotea!!!

Bavicha mlishawahi kupata pesa lini??

Ngoja tusubili awamu hii, sijui watazungusha kiuno au makalio hatujui.
Hehehe eti hawajawahi pata pesa
 
Mleta mada uko vzuri! Ila hivi unataka kuwa tanzania ya maroboti yaan watu wote wawe na mifumo sawa? kumbuka hata huyu rais wetu alianza kuajiriwa na alisoma kwa dhiki kama sisi na alsoma kozi ya dhiki kama sisi angekuwa anayaamini ayo anayoyafanya asingeajiriwa ajira ni lazima maana hii mifumo yetu inatuandaa kuwa cheaplabour....
 
Back
Top Bottom