Sijasikia serikali ikikemea na kuweka zuio la matumizi ya "EMOJI" za Ushoga kwenye mitandao ya kijam

RobyMi

JF-Expert Member
Mar 4, 2012
848
863
Hivi karibun, kampuni ya Facebook ilifanya update ya emoji katika applications zao ( Facebook na WhatsApp ) , moja ya mambo waliyoongeza ni pamoja na emojis zinazoashiria mapenzi ya jinsia moja " USHOGA" .

Baadh ya serikali zimesha iomba facebook kublock matumiz ya aina hizo ya emoji kwa subscribers wa nchi zao kwa kuwa mila, desturi na sheria za nchi zao haziruhusu vitendo hivyo. Mojawapo ya hizo nchi ni INDONESIA

Tanzania na Africa kwa ujumla imekuwa ikipiga vita ushoga, lakini nashindwa kuelewa sio Tanzania pekee, nchi nying za Afrika pia kwa hili mpaka sasa zimekaa kimya , kwa kuwa matumiz tu ya hizi emoj ni moja wapo ya njia na njama za hawa watu wenzetu kuhalalisha hii tabia ambayo imekatazwa mpaka kwenye vitabu vyetu vya dini

Swali langu :

Je serikali imekubaliana na mitandao hii kujumlisha aina hizi za emojis ambazo pasipo mwangalizo zitachangia kwa wingi ongezeko la Ushoga Tanzania.?

Je kama sio, ni lini watatoa katazo au tamko kwa kampuni hizi kuhusu subscribers wa Tanzania na matumiz ya emojis hizi.?
 
Hivi karibun, kampuni ya Facebook ilifanya update ya emoji katika applications zao ( Facebook na WhatsApp ) , moja ya mambo waliyoongeza ni pamoja na emojis zinazoashiria mapenzi ya jinsia moja " USHOGA" .

Baadh ya serikali zimesha iomba facebook kublock matumiz ya aina hizo ya emoji kwa subscribers wa nchi zao kwa kuwa mila, desturi na sheria za nchi zao haziruhusu vitendo hivyo. Mojawapo ya hizo nchi ni INDONESIA

Tanzania na Africa kwa ujumla imekuwa ikipiga vita ushoga, lakini nashindwa kuelewa sio Tanzania pekee, nchi nying za Afrika pia kwa hili mpaka sasa zimekaa kimya , kwa kuwa matumiz tu ya hizi emoj ni moja wapo ya njia na njama za hawa watu wenzetu kuhalalisha hii tabia ambayo imekatazwa mpaka kwenye vitabu vyetu vya dini

Swali langu :

Je serikali imekubaliana na mitandao hii kujumlisha aina hizi za emojis ambazo pasipo mwangalizo zitachangia kwa wingi ongezeko la Ushoga Tanzania.?

Je kama sio, ni lini watatoa katazo au tamko kwa kampuni hizi kuhusu subscribers wa Tanzania na matumiz ya emojis hizi.?
....miongoni mwa vitu vinavyowaunganisha wanasiasa wa bongo ukiacha ruzuku kubwa za vikao na pombe, ni ushoga..bungeni kuna mishoga inayojitabanaisha, isiyopungua nane..mitatu chama tawala, mitano upinzani tuone namna wanasiasa wetu watakavyolikabili gharika hili
 
....miongoni mwa vitu vinavyowaunganisha wanasiasa wa bongo ukiacha ruzuku kubwa za vikao na pombe, ni ushoga..bungeni kuna mishoga inayojitabanaisha, isiyopungua nane..mitatu chama tawala, mitano upinzani tuone namna wanasiasa wetu watakavyolikabili gharika hili
Pliz ni-PM hiyo mishoga niifahamu mkuu...
 
Emonj kwetu Ni vikatuni tuu, havina uhalisia wowote. Binafsi Kama nisingesoma hapa nisingejua Kama vipo. Unaweza ukavitumia tu na usiwe unaguswa kijambio, Ama ukawa hutumii na ndio mchezo wako. By the way SAA hizi tuko bize kidogo na utumbuaji majipu..
Mkuu UKAWA wameingiaje tens hapo...
 
Siyo lazma kutumia Facebook wala WhatsApp anzisheni mitandao yenu isiyokuwa na Hizo emoj!! Hujashikiwa panga kutumia Facebook wala WhatsApp or Twitter!!
Mbona kama wewe ni mmoja wao? hata andika yako na maneno yako yanatia shaka!
 
Back
Top Bottom