Michael Anthon
JF-Expert Member
- May 7, 2017
- 219
- 110
Kalibuuuuu
Njoni kwangu enyi mabinti wote mnaosumbuka na kulemewa na u single nami nitawapumzisha
Njoni kwangu enyi mabinti wote mnaosumbuka na kulemewa na u single nami nitawapumzisha
Ya kula bata hamnaPesa ipo ya kujengea tu
Endelea kubakiChaputa ntahama when God wishes cna mpango wa kuhama Leo wala kesho

Mkuu kwa experience yangu Sabuni haikidhi haja
Wewe utakuwa mtaalam wa Mafuta ya Mgando na lotion Au hata ya Korie yanaweza yakawa yanakizi mahitaji

3yrs hongera mkuuMZEE HUKUAMUA, MM NILIWEZA VZR2
Kuish single inawezekana vzr tuu, Hasa ukiwa na malengo flan sio usingle wakuachwa, hapo kweli lzma uzisome za kirumi. Asaiv sipo single ila nilishawah ish single 3yrs, na nilipanga kbsa yakua mpk nifkikie hatua flan ndo nitarud kweny mahusiano,
Sbb n kwamb nilikua addicted kupindukia kwa ufupi nilifanya uzinzi niliojutiaga, Nilikua sijali afya, sijali future, sijali maendeleo sikujali masomo, yaan sikujali chochote, kwa ufupi nilijihc mwenyewe napotea. Nikapiga moyo konde. Nikaenda Angaza Pale serengeti maeneo ya polisi kuna hospital flan ya private ipo Pale kweny Kanisa la Roman ili nioate majib ya uhakika, nikapima nikatoka fresh, japo nakumbuka ile siku nikiwa nipo kweny foren ili kungia kupima nilizimia na kufika ndan tena nilizimia ila sikukata tamaa. Nashkuru majibu yalikua mazuri Mara zote. Ndipo nilipoamua kuacha for 3yrs na nikafanikiwa kbsa. Baada ya kufikia malengo Nikarud kweny mahusiano na nilirud kwa sbb niliona its a ryt time. Ila kwa ufupi maisha yalienda vzr tuu,