Sijaona raha ya kuwa single

Sijaona raha ya kuwa single

Habari wakuu

Baada ya kimya kirefu, naomba Leo Nami Niseme


Miez kadhaa iliyopita niliumizwa sana, kutokana na ushauri wa rafiki zangu na maamuzi binafsi niliamua niishi bila mpenz, kweli nikaacha kila kitu, kuhusu wanawake nikirud home ni games, music, movies, Maisha yakawa yanasonga

Nikagundua ukiishi bila girlfriend matumizi ya simu yanapungua, kuna kitu special kinapungua, ninakiri kuwa unakuwa free, unakuwa huru na kipato Chako Maana kuna matumizi yanapungua, Maana ukitoka Baada ya kununua sahani Mbili za chakula unanunua moja,

Yote unaweza fanya ila likija swala la kichwa kidogo kudai chakula hapa unasahau yote, si mchezo hata kama ukajikeep busy vipi ukipata dk 2 tu, za kichwa kidogo kudai chakula, basi zitasumbua sånå, hasa ukikaa mda mrefu bila kukipa chakula chake, hapa natoa hongera Kwa walioa, ukiwa nå friend Zako Wao watakuwa nå wake zao au magirl frnd Zao, hapa ww utabaki nå dada wa kazi, unamiss kucheza, unamiss kucheka, unamiss kufurahi, u single siyo Mzuri, hasa hasa Kama huwezi kununua Kama mm,

Usiku unalala Peke hako, kitanda kikubwa, haupati mgeni Weak ned, hakika u single umenishinda,

Nyie mlio single Kama Mimi, mwenzenu nafanya mpango wa kutoka huko natafuta sehem nijifiche, uvumilivu umenishinda Kama vyeo mnivue tu,


Cc:
Team chaputa
Team single
Kaka kichwa kidogo akizingua dawa yake makofi laini tu.. sisi ma single wazoefu tuna enjoy life kwa dizaini hiyo, fanya kuchukua kadi ya chaputa kwenye tawi lililo karibu na maeneo yako.
 
Habari wakuu

Baada ya kimya kirefu, naomba Leo Nami Niseme


Miez kadhaa iliyopita niliumizwa sana, kutokana na ushauri wa rafiki zangu na maamuzi binafsi niliamua niishi bila mpenz, kweli nikaacha kila kitu, kuhusu wanawake nikirud home ni games, music, movies, Maisha yakawa yanasonga

Nikagundua ukiishi bila girlfriend matumizi ya simu yanapungua, kuna kitu special kinapungua, ninakiri kuwa unakuwa free, unakuwa huru na kipato Chako Maana kuna matumizi yanapungua, Maana ukitoka Baada ya kununua sahani Mbili za chakula unanunua moja,

Yote unaweza fanya ila likija swala la kichwa kidogo kudai chakula hapa unasahau yote, si mchezo hata kama ukajikeep busy vipi ukipata dk 2 tu, za kichwa kidogo kudai chakula, basi zitasumbua sånå, hasa ukikaa mda mrefu bila kukipa chakula chake, hapa natoa hongera Kwa walioa, ukiwa nå friend Zako Wao watakuwa nå wake zao au magirl frnd Zao, hapa ww utabaki nå dada wa kazi, unamiss kucheza, unamiss kucheka, unamiss kufurahi, u single siyo Mzuri, hasa hasa Kama huwezi kununua Kama mm,

Usiku unalala Peke hako, kitanda kikubwa, haupati mgeni Weak ned, hakika u single umenishinda,

Nyie mlio single Kama Mimi, mwenzenu nafanya mpango wa kutoka huko natafuta sehem nijifiche, uvumilivu umenishinda Kama vyeo mnivue tu,


Cc:
Team chaputa
Team single
Nakuvua vyeoooo
 
Kiukweli kuishi kisngle unakosa vitu vingi mno!!yani unaishi kimashakamashaka kama mnyama wa porini,me nmechoka kweli kweli ukijumlisha ukiongeza na shinikizo LA wazazi kuwa nmekua sasa nioe ndo kabisaaa naongeza kasi lakini sasa swali,je nitamuoa nani atakaenipa furaha nayoiwazia kila muda kuhusu mke nae mtaka!?
Hahahaa mkuu et kama mnyama porii .
 
Kaka kichwa kidogo akizingua dawa yake makofi laini tu.. sisi ma single wazoefu tuna enjoy life kwa dizaini hiyo, fanya kuchukua kadi ya chaputa kwenye tawi lililo karibu na maeneo yako.
Mkuu Kadi nimeirudisha
 
Back
Top Bottom