mcfm40
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,452
- 3,150
- Thread starter
- #101
Kabisa Mkuu. Hii ni lugha gongana!
Kusema waendelee na shughuli zao, wakati kule ACCASIA wameambiwa wasiendelee na chochote mpaka wapate agizo jipya kutoka kwa rais..hapa ndio hapaeleweki.
Kusema waendelee na shughuli zao, wakati kule ACCASIA wameambiwa wasiendelee na chochote mpaka wapate agizo jipya kutoka kwa rais..hapa ndio hapaeleweki.