Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,752
- 830,870
Ha ha ha jina la bebi linapendwamimi bebi kabisa Eve.! Angalia avatar yangu
Nimetoka kwenye mihangaiko yangu nikaingia bar moja pande za sinza nipoze koo na kula japo kongolo. Baada ya mhudumu binti mkubwa tu kunihudumia nikamwomba aniitie mtu wa jikoni akapaza sauti akasema 'wee mangi huyu mbaba hapa anakuita'! Amenikera mno kwani kashindwa kutumia jina lingine?
I hope huanzi kuwafikiria wale ex ambao uko nao friends mpaka sasa kwamba mnaangukia kwenye Still in Love au Never were!If two past lovers can remain friends its either they are still in Love or they never were!!! - Ennie huwa natafakari sana huu ujumbe!!!!
I hope huanzi kuwafikiria wale ex ambao uko nao friends mpaka sasa kwamba mnaangukia kwenye Still in Love au Never were!
Kuna exeptions best!!
Sure,hii ipo sana.Thanks..i was thinking of the same.
Lakini pia inaweza kuwa hivi:
- kuna wale unawasiliana nao koz u stil have feelings for them ila wao hawana
- kuna wale wanaowasiliana nawe koz bado wana feelings na wewe na wewe huna, u r just playing a good boy!
Sista nitaanza gym halafu nitanyoa kiduku na kuweka wave na superblack hafu usoni nitafanya ile scrub, nitavaa cheni nk tuone kama jina halitabadilika