cabhatica
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 1,081
- 480
Hata ukimuita mwendawazimu......"we kichaa njoo" hatakuchekea, Makinda hajijui kama ni bogus na aliwekwa na wale waliotaka Sitta atoke; cheap prize. Namhurumia kuuvaa mkenge ataumia sana hadi kuifikia 2015
Ukiona baba anajitambulisha nyumbani ujue yamefika shingoni...ooh mimi siongozwi na wabunge mimi ndio naongoza....tafakari