Duuh,hili jibu la Spaeker kwa Mh.Lema,nimelipenda sana.Sijui alitumia kanuni au ni matakwa yake binafsi kwa kutaza aliyoyatazama kama Jinsi,Uwiano wa Vyama,uwakilishi n.k?.Yaani waliomtwisha hilo zigo,wamemuonea sana maana wamempa kipindi kibaya sana,thats why alishtuka baada ya kuona takribani wabunge watano wanataka kuomba muongozo wa Speaker,akaona kiama kinakuja.Ushauri,kwa kuwa zigo alikubali kulibeba kwa 2010-2015,mimi naomba kabla hajajibu swali,kwanza atafakari kwa sekunde kadhaa impact ya jibu atakalo toa na akupunze kuropoka kama siyo kuacha.Pole yake,ameyataka mwenyewe kwa kutaka kulinda maslahi ya Wachache.
Tatizo uchaguzi wa spika ulitawaliwa na mawazo potofu ya kuvunja rekodi kuwa na Spika wa kike badala ya kanuni husika za kumpata sipika. Sasa hayo ndo matokeo na bado mengine mtayaona zaidi.
Huyu segito ni hopeless kabisa, kwa kifupi hafai. Waliomuweka pale walikuwa wakifikiri kwa matumbo yao ndo maana wakaishia kumuweka huyu mama mwenye mawazo mafupi kama mkia wa mbuzi. Bure kabisa pheeew
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.