kwahiyo unataka kumaliza kwassbb wamekusema au kwassbb unajiskia kufanya hivyo??????acha ushamba bwana,we shangashangaa uatkuta mwan c wako.halafu utabaki uanalalamika ooooo,ningejua.....................................
mazoezi ya asubuhi kabla ya mpambano ni mazuri kwa afya.
Unasubiri nini???
F.a.l.a nini wewe?
Hause Girl Mwenyewe analipa au kwa kuwa tu akikojoa anachuchumaa?
as long as pochi manyoya inapatikana...
Agah!
Dah, Mkuu Kuna Kitu Kukatikia bahati mbaya hapo sasa ndipo kasheshe linapoanza maana kila mtu anaweza kukuuliza hata yule lol!
Angalia usiharibu future yako. Kwanza unafanya kazi gani? au ndo kula kulala???ukimpa mimba utamuoa??au ndo mtamfukuza kwenu wewe na mama yako??? Fikiria kwanza kabla ya kutenda dogo!!, Usiongozwe na tamaa!!!
Nyie endeleeni kumpotosha .Mimi ninaishi na kijana nimemwambia siku nikigundua anatembea na h.girl wangu namuweka ndani kwa kubaka kwani ni sawa na kutembea na mtoto wangu,na nimemwambia maneno hayo mbele ya babake.