Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 24,032
- 42,381
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Husika na kichwa cha habar hapo juu
Toka nianze mahusiano huu ni mwaka wa 5 ni nishawah kuwa kwenye mahusiano na wanawake 25 kama si 27 lakin toka miaka yote hiyo na wasichana wote hao sijabahatika kupata msichana angalau hata akaniomba elf tano tu jaman
Msichana wangu wa kwanza na yule wa kumi na moja kuna siku nilimpa elf 30 lakin walikataa kata kata na kusema wao hawataki hela maana hawajanipendea pesa bali upendo wangu wa nguvu
Hata walipokuwa wanakuja gheto nikitaka kumpa hela ya naul walikuwa wanazikataa na kusema naul wanayo
Hata mpenz wangu mpya niliyenaye MBITIYAZA naye hajawahi niomba hata mia jana alikuwa na njaa mida flan ya mchana maana alilamika hajala nikafurah sana nikasema bora leo nami nitume hela kwa mara ya kwanza kwa baby wangu, nikamuuliza kwqnini hujala jibu nililopewa sasa et nimebanwa na kaz nilichoka kabisa wakati mimi nilitegemea jibu la kwamba leo sina hela ya kula ili nitume
Naomben ushaul wenu jaman nifanyeje ili nami nipate mschina wa kuwa ananniomba hela japo hata laki moja kwa mwez maana diomond yeye huwa anatoa laki tano kwa mwez
Nawasilisha
CC MBITIYAZA
LONDON BABY
Husika na kichwa cha habar hapo juu
Toka nianze mahusiano huu ni mwaka wa 5 ni nishawah kuwa kwenye mahusiano na wanawake 25 kama si 27 lakin toka miaka yote hiyo na wasichana wote hao sijabahatika kupata msichana angalau hata akaniomba elf tano tu jaman
Msichana wangu wa kwanza na yule wa kumi na moja kuna siku nilimpa elf 30 lakin walikataa kata kata na kusema wao hawataki hela maana hawajanipendea pesa bali upendo wangu wa nguvu
Hata walipokuwa wanakuja gheto nikitaka kumpa hela ya naul walikuwa wanazikataa na kusema naul wanayo
Hata mpenz wangu mpya niliyenaye MBITIYAZA naye hajawahi niomba hata mia jana alikuwa na njaa mida flan ya mchana maana alilamika hajala nikafurah sana nikasema bora leo nami nitume hela kwa mara ya kwanza kwa baby wangu, nikamuuliza kwqnini hujala jibu nililopewa sasa et nimebanwa na kaz nilichoka kabisa wakati mimi nilitegemea jibu la kwamba leo sina hela ya kula ili nitume
Naomben ushaul wenu jaman nifanyeje ili nami nipate mschina wa kuwa ananniomba hela japo hata laki moja kwa mwez maana diomond yeye huwa anatoa laki tano kwa mwez
Nawasilisha
CC MBITIYAZA
LONDON BABY
