Sijabahatika kupata mwanamke akaniomba pesa

Sijabahatika kupata mwanamke akaniomba pesa

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
24,032
Reaction score
42,381
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Husika na kichwa cha habar hapo juu

Toka nianze mahusiano huu ni mwaka wa 5 ni nishawah kuwa kwenye mahusiano na wanawake 25 kama si 27 lakin toka miaka yote hiyo na wasichana wote hao sijabahatika kupata msichana angalau hata akaniomba elf tano tu jaman

Msichana wangu wa kwanza na yule wa kumi na moja kuna siku nilimpa elf 30 lakin walikataa kata kata na kusema wao hawataki hela maana hawajanipendea pesa bali upendo wangu wa nguvu

Hata walipokuwa wanakuja gheto nikitaka kumpa hela ya naul walikuwa wanazikataa na kusema naul wanayo

Hata mpenz wangu mpya niliyenaye MBITIYAZA naye hajawahi niomba hata mia jana alikuwa na njaa mida flan ya mchana maana alilamika hajala nikafurah sana nikasema bora leo nami nitume hela kwa mara ya kwanza kwa baby wangu, nikamuuliza kwqnini hujala jibu nililopewa sasa et nimebanwa na kaz nilichoka kabisa wakati mimi nilitegemea jibu la kwamba leo sina hela ya kula ili nitume


Naomben ushaul wenu jaman nifanyeje ili nami nipate mschina wa kuwa ananniomba hela japo hata laki moja kwa mwez maana diomond yeye huwa anatoa laki tano kwa mwez

Nawasilisha

CC MBITIYAZA


LONDON BABY
 
No wonder unajiita London baby! Wanakuonea huruma usije ukafa kwa kuhudumia.
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Husika na kichwa cha habar hapo juu

Toka nianze mahusiano huu ni mwaka wa 5 ni nishawah kuwa kwenye mahusiano na wanawake 25 kama si 27 lakin toka miaka yote hiyo na wasichana wote hao sijabahatika kupata msichana angalau hata akaniomba elf tano tu jaman

Msichana wangu wa kwanza na yule wa kumi na moja kuna siku nilimpa elf 30 lakin walikataa kata kata na kusema wao hawataki hela maana hawajanipendea pesa bali upendo wangu wa nguvu

Hata walipokuwa wanakuja gheto nikitaka kumpa hela ya naul walikuwa wanazikataa na kusema naul wanayo

Hata mpenz wangu mpya niliyenaye MBITIYAZA naye hajawahi niomba hata mia jana alikuwa na njaa mida flan ya mchana maana alilamika hajala nikafurah sana nikasema bora leo nami nitume hela kwa mara ya kwanza kwa baby wangu, nikamuuliza kwqnini hujala jibu nililopewa sasa et nimebanwa na kaz nilichoka kabisa wakati mimi nilitegemea jibu la kwamba leo sina hela ya kula ili nitume


Naomben ushaul wenu jaman nifanyeje ili nami nipate mschina wa kuwa ananniomba hela japo hata laki moja kwa mwez maana diomond yeye huwa anatoa laki tano kwa mwez

Nawasilisha

CC MBITIYAZA

LONDON BABY
Endelea kutafuta tu utabahatika kumpata siku moja!
 
hahahha beira baby boy kwa ubora wako ! hhhhaa ! we km wanawake zako hawakuombi pesa we uwe uanjiongeza tu msukuma mwenzangu ! kuna wanwake hawawez kuomba omba pesa km [HASHTAG]#mbiti[/HASHTAG] hapa sasa wewe uwe unajiongeza tu ! bora umeuliza jaman !

cc Kichwa Kichafu
 
hahahha beira baby boy kwa ubora wako ! hhhhaa ! we km wanawake zako hawakuombi pesa we uwe uanjiongeza tu msukuma mwenzangu ! kuna wanwake hawawez kuomba omba pesa km [HASHTAG]#mbiti[/HASHTAG] hapa sasa wewe uwe unajiongeza tu ! bora umeuliza jaman !

cc Kichwa Kichafu
Kumbe ninavyojiongeza kukupa huwa sijakosea.
Ila siku nyingine usihofu kuniambia.

Cc: MBITIYAZA
 
Back
Top Bottom