Gulio Blog
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,056
- 4,124
Sasa hii inahusiana vipi nakuamua kufuta namba migahawa mingi chakula kinatofautianaYani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.
Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.
Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.
Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa[emoji35] .
Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.
Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
Mwanaume kama huyo futa namba hakufai kabisa.
Hajiamini, hana uwezo wa kuishi na wewe.pia hongera we ni mwanamke unayejielewa.
Next few wks nitakuja na series ya kuwafunda wanaume jinsi ya kuandaa mtoko wenye mafanikio kwa Mwanamke unayekutana naye kwa mara ya kwanza
Tutajadiliana vifungu vifuatavyo
1. Jinsi ya kupanga kukutana
2. Namna ya kujiandaa kukutana
3. Namna ya kuvaa siku hiyo( hakuna haja ya gharama za nguo)
4. Jinsi ya kutembea
5. Tabia na mienendo za kuwa nazo au ,a kuepuka unapokuwa n mwanamke kwa mara ya kwanza.
Ktk uzi wa Mwanadada huyu ametaja mambo mazito ambayo braza kakosea sana na imepelekea Mwanadada kumuona ni mtu wa hovyo na hafai kuwa Mwanaume wake.
Stay tuned.
Simtetei mwanamke ila Mwanaume kakosa ustaarabu unajua kuna watu hata huku mtaani usije ukawakaribisha atahakikisha anaenda na wewe sambamba mpaka sahani inakua nyeupeMtoa mada alitakiwa kujisitiri na kumsitiri jamaa Yake, wote wamekutana Ni njaa Kali afu waigizaji. Tatizo nnaloliona, mmoja wao kamzidi maigizo mwenzie[emoji4]
Ko unajua hapo ndo nimeanza kukoment?Jamaa ndo kamwambia mwanamke achague ebu kuwa unasoma uzi
Sijui ndo umeanza au laKo unajua hapo ndo nimeanza kukoment?
nimekualika, umeagiza ukipendacho, ukafakamia na wine juu, Lakini bado unalalamika?Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.
Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.
Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.
Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa[emoji35] .
Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.
Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
Usifanye hivyo, huenda mambo hayako sawa kwasasa, ipo siku yatamnyookea ujueBora ulivyofuta namba yake, huyo angekusumbua sana siku za usoni....
Hana haiba ya uanaume, hajiamini, hana aibu pia.
Ohhh..
But next time ikikutokea kama hivyo, agiza chakula kingine, yaan wakat jamaa anafakamia pale unaagiza plate nyingine alafu kaa zako kimya.
Ndio ukome ...
Huyo alikosea sana, ilitakiwa baada ya kushiba Saa ya kulipa alipie maji amwambie mhudumu kila mtu analipa bili yake nipo na super woman na asibadili msimamo.
Lipi Hilo mtu anajidai wa bei juu wakati mfukoni Hana hata mia.
Utasikia nataka kidume mwenye gari[emoji1787][emoji3], akati baba yake toroli tu lime mshinda[emoji1787][emoji1787][emoji3]
Sasa unalia nini ?
Kabisa asee yani mpaka saiv bado hajielewi kuwa ulikuwa mtego na amenasa! Ila tunaweza mpa lawama bure mtoa mada kumbe ni kibinti kidogo ndo kinachipukia bado hajajua maisha ni nini
Mtoa mada ulidhani umeokota embe kwenye jangwa baada ya kuambiwa uchague sehemu yoyote kumbe unapimwa akili na ukajaa kweli kwenye MTEGO.
Kama pesa ya bills hana?Ungemuonyesha jeuri kwa kuagiza chakula kingine, na ungeclear bills zote na ungetoa tip kwa mhudumu then ndo ungefuta namba yake na kumpotezea.
Ingemuuma hiyo mpk mwisho wa uhai wake.
Tatizo na wewe tegemezi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]