Siipendi CHADEMA


Kiongozi sina hakika kama ulikuwa sawa wakati unaandika hoja yao... ila kama umeandika ili uonekana umepost ni sawa...
 
Hivi yule Balali wa twitter mmeshamalizana nae nini!?? maana yuko kimya.. au mlishatuma vijana wa kazi wakamzamishe kwenye kisima afu uchunguzi uendelee...!??
Yupi yule wa Chadema mitandaoni?

 
Naona unatisha kujamba wakati unahara,yule dogo alietoka masjid alipigwa risasi na nani,vp mwangosi,dr.ulimboka,vp kule arumeru mlipo chinja mtu,rev.mushi nae umesahau..Mtataga tu mwaka huu tulia hapohapo dawa inaingia fish...

Kama unakubali kuwa mmewamwagia watu tindikali na kujilipua wenyewe kwa mabomu, mnashindwa nini kumuua MWANGOSI, KUMTESA ULIMBOKA na KIBANDA? Lengo si serikali ionekane inahusika? Mkuu watanzania wakanja sana, wameshawashtukia CDM hamna pa kujificha tena
 
Mkuu malizia kwanza dawa zako ndipo uje tena.
 
Huwezi kuongozwa na heche then ukawa na sumu mfukoni ya kumuuwa zito halafu akiri yako ikafanya kazi vizuri.
Sio akiri,sema akili,mnatupa shida sana nyie vilaza,shule umetaga bado unataka kutaga kiliberal...
 
CHADEMA ndiyo wamewamaliza kabisa kwa maandamano, vurugu na bakuli za michango huku wao wanapaa na helikopta


Chadema wameiweka Arusha katika uwiano wa kujifaham na kuitambua haki yao, kuidai na kuthamini utu wao.

CCM wanasema mtakufa (mwigulu nchemba) kweli wanakufa watu, nani anayeuwa hapa kama sio ccm na mwigulu?

kama unafaidi kutoka bakuli la mafisadi wanaoiba kodi zetu kila siku utakuwa na laana maana sasa hata ya

taa/kerosine mmetupandishia bei. Ama kweli ccm ni janga mkuu.
 

Serikali sikivu ya ccm iko safarini!?! afu bebifesi anatwambia ,PIGA tu.. ahahahaaa...ha ha haaa...
 
Nchemba kasema atakutumia hela kwa M-Pesa ukanunue,embu mcheki hewani kwa sasa..
Ndio lwakatare anavyowatumiaga nyie vijana wake?? Ona alivyomtosa ludo saivi anaozea jela mtoto wa watu, ona kilewo anavyoteseka sasa. Say no to tindikali na sumu
 
Mbona mwenyekiti wako akili yake ndogo anaongoza watu wenye phd na maprf.
Hapa ndipo unapoonyesha udhaifu wako wa kutambua mambo...

Kwa taarifa fupi tu kwako, ni kuwa kuna tofauti kubwa kati ya akili...na phd (PhD) au maprf.(Professors).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…