Siipendi CHADEMA

chadema hawafai kabisa wameongoza nchi tokea uhuru na sera zao feki ila upinzani chini ya mwigulu umefuchua maovu mengi

Mkuu umemtaja Mwigulu huogopi, au kareti zako zitakuokoa, mwenzio namalizia hii post nabadili IP address afu naondoka hapa kwa Gude naenda kujificha mjimwema. kucha zangu nazihitaji bado na sura yangu isijeharibiwa na tindikali...
 
yaani umekaa umekosa hela ya kwenda kunywa ULANZI umekosa,umeona bora uandike huu uharo ulete hapa JF. P.UM.BA.V.U sana.
 
Ni kweli, chadema pia ilikwapua pesa pale B.o.T! Mwaka 2005 ili kumsaidia mgombea wao wa urais!
Umekosea mwaka,kipindi iko Gavana ni Mzee Mtei na karani Mbowe na majengo yakaungua baada ya kukwapua hazina ya taifa.

 
......Umesomeka mkuu.......ila nina wasiwasi na mrejesho ya wale walio kwenye zile orodha....utawajua tu.....:clap2:
 
yaani umekaa umekosa hela ya kwenda kunywa ULANZI umekosa,umeona bora uandike huu uharo ulete hapa JF. P.UM.BA.V.U sana.

Una utani na waziri mpana!?? naona umemtaja kwa sifa yake kuu..
 
Ukipigania haki za wananchi na taifa kwa ujumla umekuwa mwanaharakati,naona mmeshikwa pabaya,tulia dawa iingie utataga tu mwaka huu...
Unapigania haki za watu kwa kuwamwagia tindikali na kuwalipua kwa mabomu,unajitekenya na kucheka mwenyewe.
 
Umekosea mwaka,kipindi iko Gavana ni Mzee Mtei na karani Mbowe na majengo yakaungua baada ya kukwapua hazina ya taifa.


Hivi yule Balali wa twitter mmeshamalizana nae nini!?? maana yuko kimya.. au mlishatuma vijana wa kazi wakamzamishe kwenye kisima afu uchunguzi uendelee...!??
 
hivi CHADEMA mnafikiri mnaweza kuwabambikiza CUF ushoga wenu kirahisi hivyo? WENJE Mwenyewe aliyesema ushoga bungeni ni shoga na ukitaka kuthibitisha hilo miulize BONDIA MADA MAUGO kama utaweza kumpata.
Tena ukome na kwambia..,sio maneno yangu bali kambi ya maliberal bungeni ukiungwa mkono na ******,haki sawa iliguswa
 
Kitu cha Arusha



CCm hawatakisahau kamwe, Umoja, mshikamano na zaid ukweli kwamba watu waarusha wanaichukia ccm kwa

kuukumbatia ufisadi na kushusha elimu na afya ya watanzania kuwa taabani kabisa.
 
Hii ni akili ndogo ndiyo inaweza kuandika ujinga huu
 
Mkuu kuna vifaa maalum vimeshaingia nchini kwa ahili ya kupasua HELMET kwa hiyo haisaidii,kubwa ni wewe kuachana na ukuda tu!

Vifaa vyenye ncha kali vinavyosadikiwa kuruka kutoka upande usiojulikana!?? najua vitaniua mara moja tu kuliko hivi ninavyoendelea kufa taratibu kadri ccm inavyoendelea kuwa madarakani..
 
CCm hawatakisahau kamwe, Umoja, mshikamano na zaid ukweli kwamba watu waarusha wanaichukia ccm kwa

kuukumbatia ufisadi na kushusha elimu na afya ya watanzania kuwa taabani kabisa.
CHADEMA ndiyo wamewamaliza kabisa kwa maandamano, vurugu na bakuli za michango huku wao wanapaa na helikopta
 
Unapigania haki za watu kwa kuwamwagia tindikali na kuwalipua kwa mabomu,unajitekenya na kucheka mwenyewe.
Naona unatisha kujamba wakati unahara,yule dogo alietoka masjid alipigwa risasi na nani,vp mwangosi,dr.ulimboka,vp kule arumeru mlipo chinja mtu,rev.mushi nae umesahau..Mtataga tu mwaka huu tulia hapohapo dawa inaingia fish...
 
werevu tume kuelewa.....maneno yako yanafunza na yana mantiki, Mungu ibariki tanzania
 
Unajua kupagawa wewe mbona unajitukana hovyo,huwezi kuwa na sumu mfukoni halafu akiri ikawa nzuri pia haiwezekani.

Hebu nifafanulie hapo kwenye "akiri" au ndo madhara ya elimu chini ya serikali ya ccm..!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…