Matatizo mengi duniani yanasababishwa na siasa na wanasiasa kama ilivyo hapa Tanzania.Ni kwa sababu hii ndo maana siamini ktk siasa.Naichukia sana CDM na siipendi kabisa CCM.Anayeweza kunishawishi kwa vigezo thabiti kwamba CCM ama CDM ndo suluhu ya matatizo yetu nchini na afanye hivyo sasa