Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
Swali zuri sana maana kuna watu wameanza kuwa na wasiwasi na michango yetu jinsi inavyotumika. kuna tetesi kuwa hakuna control nzuri ya utoaji wa pesa katika chama, nasikia eti anaangaliwa nani anataka bila kujali ni kipi kipaombele. Hatari sana
Kumbe nawe umechangia? kweli ukombozi wa kweli kwa nchi hii uko mbioni kufika. Nje CCM ndani unai-feel CDM. Well done Tume ya katiba
Last edited by a moderator: