Sifaa za mwanaume wa ukweli...

Sifaa za mwanaume wa ukweli...

Mwanaume wa ukweli anafikisha mkewe na anakua na nyumba ndogo!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kama hujawahi kuunganisha bao 3 , kwa "kupigia mulemule pasina kusopoa!
Wewe u-kidume cha ukweli !
 
Mwanaume wa ukweli anatakiwa awe na wake wanne na sio nyuma ndogo
 
mwanaume wa ukweli hamwamini mwanamke wake. piga ua, chinja, leta ndinga kanyaga.
 
HAbarii mabibi na babwana.....haya bana ukipungiwa na wewe pungaa bana,napenda leo kuwapa sifa chache za wanaume wa ukweli na nyie mjazie.....1,mwaname wa ukweli anajua kujali[kuonga],2 mwanaume wa ukweli ana msimamo[akisema yes ni yes no ni no,sio kama bendera ana yumbishwa na upepo 3 mwanaume wa ukweli halumbani na mwanamke,ukishindana kuongea na mwanamke utaaibika[kama anazingua sana mchape vibao sio maneno],...endelea

Sifa ya mwanaume ni 6x6 tu hayo mengine ni mbwembwe tu.
 
mwanaume wa ukweli hamwamini mwanamke wake. piga ua, chinja, leta ndinga kanyaga.
samsoni alikuwa mwanaume wa ukweli akamuamini mwanamke wake kilicho mpata....hawa wakina hawaa sio wa kuwaamini asilimia zote bana,ishinao kwa machale
 
Back
Top Bottom