B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,573
- 3,255
HAbarii mabibi na babwana.....haya bana ukipungiwa na wewe pungaa bana,napenda leo kuwapa sifa chache za wanaume wa ukweli na nyie mjazie.....1,mwaname wa ukweli anajua kujali[kuonga],2 mwanaume wa ukweli ana msimamo[akisema yes ni yes no ni no,sio kama bendera ana yumbishwa na upepo 3 mwanaume wa ukweli halumbani na mwanamke,ukishindana kuongea na mwanamke utaaibika[kama anazingua sana mchape vibao sio maneno],...endelea