Sifa za wanawake wembamba

Sifa za wanawake wembamba

Kuhondomola team Missanah,ee,!

QUOTE=HAMIS MANOTI;11785543]Imebainishwa kuwa WANAWAKE wengi wembamba ni watalamu wa mapenzi kuzidi wanawake wanene, hii inatokana na tafiti mbalimbali zilizofanya na watalamu wa masuala ya mapenzi kama wakina Leticia Jackson wa US, Prof. Benjamin James wa Ufaransa, Dr. Edward Huloww wa Uingereza, hawa watalamu katika tafiti zao walizofanya katika nchi mbalimbali zinaonyesha kuwa asilimia 85 ya wanawake wembamba wanajua staili nyingi za kuhondomolana wakati wa chakula cha usiku, na asilimia 15 ya wanawake wanene ndio wanaojua kula vizuri chakula cha usiku.Na sababu inayofanya wanawake wembamba kuwa wataalamu sana katika chakula cha usiku ni kutoka na wepesi walionao.Hivyo anaweza kujikunja na kukaa mkao wowote ambao huleta raha na mamnjonjo katika mapenzi.Japo sio kila mwanamke anaweza kufanya hivyo katika mapenzi wengine wataki hata kutoa ushikiano katika mapenzi .

Hiyo ni tabia tu ya mtu si mnene wala mwembamba.Basi kama mpenzi wako anafanya hivyo na huipendi hiyo tabia ni bora umwambie au umfundishe sababu sio kila mtu anajuwa kilakituJapo kuwa kila mwanaume ana uchaguzi wake ila uchaguzi wako isiwe sababu ya kuwanyanyapaa wanawake ambao sio chaguo lako.kama wewe unapenda wembamba usinyanyapae wanene na kama unapanda wanene usiwanyapae wembamba.- Je wewe unasemaje!
[/QUOTE]
 
Aisee mi napenda sana hivi vidudu. Yaani ni vitam balaa!!! Naweza honga hata ka-beetle kangu kimobitel kimoja!!!
 
vinarandana... pesa/mwanamke.

Hapana ni hivi: AKILI ya mwanaume inawaza manamke na akili ya mwanamke inawaza zake pesa. kwa hiyo mwanamke anatafuta pesa zake na bado anatafutiwa nyingine na mwanaume. dah! jamani raha sana
 
Hapana ni hivi: AKILI ya mwanaume inawaza manamke na akili ya mwanamke inawaza zake pesa. kwa hiyo mwanamke anatafuta pesa zake na bado anatafutiwa nyingine na mwanaume. dah! jamani raha sana

ila na cha moto huwa mnakipata... huwezi pewa hela bure bure!!!!
 
Mwanamke wa kiafrika sifa ni kufungasha....ukiwa mwembamba halafu nyuma mzigo mambo ni ✅✅✅✅✅✅

Aseeh umeongea point at..taja namba nkurushie kivodapesa
 
Hapana ni hivi: AKILI ya mwanaume inawaza manamke na akili ya mwanamke inawaza zake pesa. kwa hiyo mwanamke anatafuta pesa zake na bado anatafutiwa nyingine na mwanaume. dah! jamani raha sana

Tulishaambiws tutatafuta kwa jasho...ila kajasho kote kanaishia kwenu. .
 
K zao zimesheheni nyama...zile kuta na Kingo MTO Jordan huwa zinalowa haraka
 
Back
Top Bottom