ni sawa lkn bado unaweza kumubadilisha akawa mchapa kazi kweli kweli
dalili ya mvivu kubwa uchafu...
mwanamke yoyote mvivu mchafuu!!
2,4,5,6 sio kweli
Cc Miss natafuta
![]()
![]()
![]()
![]()
looihh!mie namkorogo wangu sina soko
Hii kama kweli. Kuna mmoja huyo sifa karibia zote anazo... na alinipa wkt mgumu sana. Nashukuru Mungu aliondoka mwenyewe... kwa kibur chake .
Nilivyomwepesi kupiga kibuti sasa...!!!!! Yaani mwanamke akizingua tu namwambia TOKAKweri kabisa na ukitaka kufa kabla ya siku zako kosea mwanamke wa kuoa ukutane na mwnamke kama anaye zungumzwa hapo ni shiiida. Kosea maisha usikosee mwanamke wa kuishi naye kama mke umeliwa
Aliomba ushauri kwamba yeye ni mvivu sana2,4,5,6 sio kweli
Cc Miss natafuta
Cc miss na......
Miss Natafuta njoo huku... !
Miss Natafuta.......Pia huwa wachafu. Ila Usafi wa muonekano wanaupatia

Ulijuaje!!Pia huwa wachafu. Ila Usafi wa muonekano wanaupatia
I hate when girls say "I need a guy that can handle me..
" You are a FEMALE ! not a zoo creature . Handle ya DAMN SELF ."
Wa hivi tunawajulia maana tunajua Janja ya nyani ipo mkiani.
Wanawake wa hivi uzeeni hupiga yowe kila pahala wasimwone wa kuwasaidia.
Tena awe hajasoma ndio utamwonea huruma
Miss Natafuta njoo huku... !
haha janja ya nyani ipo mkian..
kwahio unatumia then unamtema?
Hawa tunawazugaga tuu, tunakula na kunywa divai isiyotiwa chachu na wao kwa miaka Miwili au mitatu then tunaanzisha visa vya talaka.
Ikishafikia hapo tunatafuta Wanawake wachapakazi.
unajua Kama mke ni Mvivu, Uzeeni utapata Shida Saana. Sema baadhi ya wanaume hawaangaliagi mambo ya Uzeeni wanabaki kuangalia Sura za kubandika