Sifa za wanawake wanaopenda kuvaa madela

Sifa za wanawake wanaopenda kuvaa madela

Dela ni moja ya mavazi ya heshma japo ni ya kiswahili zaidi ukivaa Dela huna haja ya kubana miguu ukikaa wakaa kwa amani, hata misibani Siku hizi watu wavaa madela, huu utafiti wako umelenga kikundi fulani cha watu wenye tabia hizo lakini si kuwageneralize wavaaji wote kuwa na Tabia hizo mama wajawazito badala ya kushona matenity tunavaa madela tunapendeza labda kwa sababu dela si vazi La kiofisi ndo maana umeona ulidharirishe
 
Aise tumetofautiana siipendi ile tabia yani unakuta li dera lenyewe kanunua refu then analichomekea kwenye pichu utafikiri mafundi cherehani wa kuyapunguza hakuna mi huwa naona ni njia wanayotumia kuwatega wanaume
ha ha ha ha kwel mkuu tuko tofaut sana juu ya hilo mim ndio ugonjwa wangu
 
Dah, weekend zina mambo! Ni kama vile threads za weekend watu wanazianzisha baada ya kupata yale mambo ya kwenye stuli ndefu.

Vv
Watu wana stress zao na jf ndio sehemu ya kuja kupumulia hizo stress so usishangae sana mkuu,vituko havitakaa vikaisha .
 
Kwa kweli hawa wenzetu ni washenzi sana,unaona hata sasa hivi pamoja na yote yanayoendelea katika utawala huu lakini kimya kabisa,nina uhakika haya haya kama ingekuwa ni wakati wa Kikwete ungesikia kelele kila kona kuanzia kwa wanaojiita viongozi wa dini hadi wale waganga njaa wanaojiita watetezi wa haki za binadamu,binafsi siwapendi.
Malimbukeni flani wabinafsi. Achana nao, sisi maborn town bwana... Wakija kustuka washachelewa sisi tuko next level. Rais wa kwanza kuwavalisha mitumba mzaliwa wa Kisarawe, wangevaa kaniki za babu yao mpaka waote sugu tupuni. Fadhilaka wapundaka...
 
Makubwa haya.... madera raha sana unalivaa chukuchuku mwenzio akija anapandisha tu, mchezo kwisha... hayo mengine sifa za mtoa mada.
"hauwezi kumjua mtu zaidi ya unavyojijua"
 
Kinyume cha uzi huu ni kuwa wachangiaji wote wanaopinga madera ni
1.Aidha wamekuja na treni/garimoshi
2.Stand yao kuu hapa mjini kwenda vijijini ni Ubungo
3.Aidha walikuwa walimaji wazuri
4.Ni wageni katika utamaduni wa Dar es salaam ni mikoa jirani ya Tanga na Pwani
5.Sio wazaliwa wa Dar esalaam au mikoa ya jirani
6.Walikuja Dar es salaam na sio wenyeji wa Dar (ni wa vijijini tena mikoani)
7.Watakuwa wana hulka za kilokole
8.Wanapeanda sana utamaduni wao wa kijijini lakini hauna nafasi Dar es salaam na mikoa ya Pwani(pwani/tanga nk)
9.Wambea na wanapenda kufuatilia issue za kina mama
10.Waongeaji wazuri wa vilugha wanapokuwa wamekutana

Any way huwa nafurahi nikimuona msichana amevaa dela na hasa awe mweupe kidogo alaf wae na cheni shingoni
Mwana Dar es Salaam...
 
Issue zipi ndogo ndogo?

unamaanisha utu, asili na utamaduni wetu ni issue ndogondogo

Haya mambo ni uchafu na huwezi kuyapuu

umbeya, kujikoboa nk issue ndogondogo

You're not serious.
Hii research yako bila shaka uliifanyia Tandale au mburahati au manzese na maeneo mengine yanayofanana na haya, kwaiyo uliwafanyia research watu wanaofanana kufikiri hukuwa research watu wenye mitazamo tofati tofauti huwez kusema umefanya research kwa kuhoji kundi moja tu la watu wenye uelewa ulio sawa, ungechanganya kidogo ungekwenda kwa wenye tabia hizo ungekwenda kwa wasio tabia hizo na pia ungekwenda kwa wasio vaa alafu ungejumuisha Mawazo yako, hii style uliyotumia wewe ni style kandamizi na dharirishi haikubaliki kututukana wanawake kwa namna hii, Leo hii nikivaa Dela nionekane ni mtu nisiyeeleweka Kwann usingetumia neno "Baadhi yao" badala ya kutukana wote wanaovaa madela
 
Navaa sana madera ila sijui kama nina hizo sifa

Achana nao hao wapenda kukaa uchi, watumia toilet paper, ukitoka nae usijaribu chuma mboga, nyuma ananuka nnya balaa, maana hawatumii maji kabisa kwa kujifanya uzungu!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom