Sifa za wanawake wanaopenda kuvaa madela

Sifa za wanawake wanaopenda kuvaa madela

Kaza kichwa sasa maana unaonekana unalalamika kwa unachohis kuwa unakijua kumbe holaa

Ushauri wangu ndio huo,nina uhakika ukiuchukua na ukiufanyia kazi utakusaidia maishani ndugu, kwani utakuwezesha kuachana na hizi ishu ndogo ndogo za mtaani zisizo na msingi wowote katika maisha na utaishi maisha poa yasiyo na vikwazo wala misuguano yenye mitazamo hasi kwa jamii fulani.Chukua hiyo kutoka kwangu kwani nahisi ni wachache watakao kupa ushauri kama huu kwani wapo wengi wenye tabia zinazofanana na hizi unazozipigia debe hawataki kukuona ukiishi positive life,Take it from me young man and believe and live with it utafanikiwa.
 
Ushauri wangu ndio huo,nina uhakika ukiuchukua na ukiufanyia kazi utakusaidia maishani ndugu, kwani utakuwezesha kuachana na hizi ishu ndogo ndogo za mtaani zisizo na msingi wowote katika maisha na utaishi maisha poa yasiyo na vikwazo wala misuguano yenye mitazamo hasi kwa jamii fulani.Chukua hiyo kutoka kwangu kwani nahisi ni wachache watakao kupa ushauri kama huu kwani wapo wengi wenye tabia zinazofanana na hizi unazozipigia debe hawataki kukuona ukiishi positive life,Take it from me young man and believe and live with it utafanikiwa.

Issue zipi ndogo ndogo?

unamaanisha utu, asili na utamaduni wetu ni issue ndogondogo

Haya mambo ni uchafu na huwezi kuyapuu

umbeya, kujikoboa nk issue ndogondogo

You're not serious.
 
Issue zipi ndogo ndogo?

unamaanisha utu, asili na utamaduni wetu ni issue ndogondogo

Haya mambo ni uchafu na huwezi kuyapuu

umbeya, kujikoboa nk issue ndogondogo

You're not serious.

Huo ni mtizamo wako umeamua ulichukulie hili swala seriously kama vile ni ishu ya kitaifa,kumbe ni mtu tu na mtizamo wake hasi dhidi ya mtu/watu wa jamii fulani kaamua kulifanya eti ni big deal,ndio maana nikasema pale mwanzo akili ndogo hujadili watu na mambo yao,lakini wenye akili za kawaida hawawezi wakaliona hii kuwa ni ishu ya mtu kuvaa dera eti ndio serious ishu kama unavyotaka niamini,haya ni mambo madogo sana young man yasiyopaswa kukuharibia jumapili yako.Take it easy bro.
 
Huo ni mtizamo wako umeamua ulichukulie hili swala seriously kama vile ni ishu ya kitaifa,kumbe ni mtu tu na mtizamo wake hasi dhidi ya mtu/watu wa jamii fulani kaamua kulifanya eti ni big deal,ndio maana nikasema pale mwanzo akili ndogo hujadili watu na mambo yao,lakini wenye akili za kawaida hawawezi wakaliona hii kuwa ni ishu ya mtu kuvaa dera eti ndio serious ishu kama unavyotaka niamini,haya ni mambo madogo sana young man yasiyopaswa kukuharibia jumapili yako.Take it easy bro.

kwanza huna adabu who is young man?

Behaviour is something to do with respect

you shouldn't take that word to anyone unless is very clearly known to you.

understand and learn to respect.
 
kwanza huna adabu who is young man?

Behaviour is something to do with respect

you shouldn't take that word to anyone unless is very clearly known to you.

understand and learn to respect.
Samahani bwana Mkubwa, naomba nisamehe sitorudia tena kukuita young man,lakini nafikiri the rest utayatilia maanani.
 
Samahani bwana Mkubwa, naomba nisamehe sitorudia tena kukuita young man,lakini nafikiri the rest utayatilia maanani.

wewe either utakuwa mmojawapo wa waathilika wa hoja hii directly or indirect

I undestand this case, ukidhani ni vitu vidogo I tell you sasa hivi hizo tabia zimetamalaki everywhere...mikowa mingi

sio kusini...kaskazin au mashariki bila kusahau hapo mikowa yakatikati

The fact is imeenda mbali sasa hivi badala ya hao wa MADELA kuvaa maudhui ya mleta hoja tu hata wanaume wanaazima tabia hizo za hovyo.

kujikoboa sio tu sifa ya wavaa MADELA wanaume nao wamo, what a shame?
 
wewe either utakuwa mmojawapo wa waathilika wa hoja hii directly or indirect

I undestand this case, ukidhani ni vitu vidogo I tell you sasa hivi hizo tabia zimetamalaki everywhere...mikowa mingi

sio kusini...kaskazin au mashariki bila kusahau hapo mikowa yakatikati

The fact is imeenda mbali sasa hivi badala ya hao wa MADELA kuvaa maudhui ya mleta hoja tu hata wanaume wanaazima tabia hizo za hovyo.

kujikoboa sio tu sifa ya wavaa MADELA wanaume nao wamo, what a shame?

Ni kweli hii mada imenigusa ndio maana nimechangaia, ila sijui ni indirect or direct,lakini pia kwani mwanaume akichubua usoni wee inakukera nini?anakua amekupunguzia nini katika maisha yako? labda kusema itakuathiri kwa namna moja ama nyingine?

Mimi hao wanaume wa kujichubua nimeanza kuwaona kitambo toka niko shule za msingi lakini halikua jambo la kipaumbele kwangu wala kwa wazazi wangu, kwa kuwa wale walikua ni wageni wametoka nchi za nje na wamekuja kwa shughuli zao,walichokifanya kaka zangu ni kuwaambia tena kwa kuwashauri tu na wala si kuwakataza au kuwateta kwamba hapa kwetu hizi tabia hazipo kwani wanaofanya hizi tabia ni watu wa aina fulani basi,sasa wafanye wasifanye haikua suala la wazazi au kaka zangu,miaka imepita na leo hiyo tabia imeshakua ndio mazoea kwa wanaume wengi so hainishangazi kwani hainihusu,haramu kwako halali kwa mwenzako.
 
Tena hii hizi thread zinasaidia sana kufanya maamuzi coz watu wengi wanasoma hivyo wanachukua tahadhari wakikutana na demu wa aina hii au nyingine
Very true, nashangaa
mwanajamvi mmoja hapa kakwazika kweli nadhani kama angekutana na mleta mada mubashara pangechimbika haswaa, uzi ule una fundisho kubwa nanzuri
Eeh! makubwa haya, yaani kutokubaliana na hoja zako imeshakua ni munkari tena,ushauri wangu kwako na mtu mwenye tabia kama zako ni MIND YOUR OWN BUSINESSkwani itakuweka huru na mwenye Amani saa zote na siku zote,hii habari fulani kavaa nini sijui,au fulani mwenye kuvaa nini anakua na nini sio mpango,wewe shughulika na kitu vile kinavyokuja kwako positively and attentively jibu utalipata murua kabisa,hii habari za udaku waachie Global Publishers.

Man yours is a hypothetical world ambayo itakuacha ubehave like a spoilt brat and a civilised world only to look elsewhere eti wana-mind their own business! Not even Robinson Crusoe managed that cause sometimes he had to mind the business of his only companion, the Dog, unfortunately you neither have the means nor power to deter us from probing into such unseemly behaviour, we shall prode, probe and scrutinise all such misguided behaviour whether you like it or not, the nations moral fabric is at stake here!
 
Povuuuuuuuuu sana. Yaani nikishamuona dem kavaa dera hata kama ilikua imesimama inanywea sekunde. Sipendi mwanamke wa kiswahili hata siku moja niko radhi nimpige risasi nikiruhusiwa.

Duuh Mbona wazungu wengi tu hao wakiswahili tuachie sisi.
 
Nimejaribu kufanya research ndogo ya mademu wanaopenda kuvaa madera. Matokeo niliyoyapata:
1. Wanapenda taarabu na vigodoro, kwenye rusharoho huko balaa
2. Waongo, wambeya na washinda vibarazani
3. Wengi hawajaolewa
4. Ni kero kwa wanaume yaani ukikutana nae tu anaomba umnunulie chipsi
5. Ni mabingwa wa kuvuruga ndoa za watu na wanapenda kutembea na waume za watu
6. Wana matusi na hawaangalii wakati wala eneo alilopo. Matusi anayoporomosha hata kwa mtoto wake utafikiri alibakwa
7. .... ongezea

Barafuyamoto
8. Asilimia kubwa wanajichubua, unakuta knuckles nyeusii tiii ila sura "nyeupe".

9. Wengi ni wazaramo, wenyeji wa Tanga, in short wa mwambao etc!

10. Waswahili, ustaarab zero!

11. Wengi ni failure wa shule TENA la saba au ni drop out wa sekondari.

12. Kitandani wengi wako poa.

13. Akipokea simu kwenye Dala dala halafu awe amesimama abiria mtakoma kila mtu atajua anacho ongea, akianza kucheka...

Madela=Madera
Waswahili wengi ndio wastaarabu Na ndio wanaishi sehemu za mwambao.Taarabu Na vigodoro ndio ngoma zao.Hawavai vimini kutokana na weye ndio ustaarabu wasafi Na hawanukinuki saa zote marashi Na manukato.
Wengi ni wamiliki Hata ya nyumba ulio panga.
Bila ya kusahau ndio waajiri wengi wa dada zenu Na shangazi zenu majumbani kwao.
Nakama mnabisha nendeni sehemu yeyeto Dar,Arusha,Mwanza,Tanga mpaka Ntwara muone.
 
Very true, nashangaa
mwanajamvi mmoja hapa kakwazika kweli nadhani kama angekutana na mleta mada mubashara pangechimbika haswaa, uzi ule una fundisho kubwa nanzuri


Man yours is a hypothetical world ambayo itakuacha ubehave like a spoilt brat and a civilised world only to look elsewhere eti wana-mind their own business! Not even Robinson Crusoe managed that cause sometimes he had to mind the business of his only companion, the Dog, unfortunately you neither have the means nor power to deter us from probing into such unseemly behaviour, we shall prode, probe and scrutinise all such misguided behaviour whether you like it or not, the nations moral fabric is at stake here!

Si kweli kwamba ningekutana na mleta uzi pangechimbika laa si kweli,binafsi sina ukorofi wa kipuuzi.

Kifupi,huo ndio ulikua ushauri wangu na kama umeamua kutoufata sawa ni juu yako ,isipokua ni mambo madogo sana kuyatilia maanani kwani wavaa madera wapo nchi nzima jitahidini huo ujumbe wenu uwafikie wote,lakini dah! sijawahi tegemea mwanamume ukae na kujadili ishu ya wanawake kuvaa madera na kuinasibisha na tabia za watu na kujiapiza eti siwezi kukushawishi kukubaliana na mtazamo wangu,na hii inadhihirisha kwamba tatizo sio madera bali tatizo ni mtazamo hasi dhidi wanaovaa hayo madera inasikitisha kwa kweli.
 
Neno research limepoteza maana kabisa. Hisia, maoni, mawazo, udaku na vitu kama hivyo vinaitwa research!
 
Nimejaribu kufanya research ndogo ya mademu wanaopenda kuvaa madera. Matokeo niliyoyapata:
1. Wanapenda taarabu na vigodoro, kwenye rusharoho huko balaa
2. Waongo, wambeya na washinda vibarazani
3. Wengi hawajaolewa
4. Ni kero kwa wanaume yaani ukikutana nae tu anaomba umnunulie chipsi
5. Ni mabingwa wa kuvuruga ndoa za watu na wanapenda kutembea na waume za watu
6. Wana matusi na hawaangalii wakati wala eneo alilopo. Matusi anayoporomosha hata kwa mtoto wake utafikiri alibakwa
7. .... ongezea

Barafuyamoto
8. Asilimia kubwa wanajichubua, unakuta knuckles nyeusii tiii ila sura "nyeupe".

9. Wengi ni wazaramo, wenyeji wa Tanga, in short wa mwambao etc!

10. Waswahili, ustaarab zero!

11. Wengi ni failure wa shule TENA la saba au ni drop out wa sekondari.

12. Kitandani wengi wako poa.

13. Akipokea simu kwenye Dala dala halafu awe amesimama abiria mtakoma kila mtu atajua anacho ongea, akianza kucheka...

LI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom