lovebitelol
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 964
- 972
Mimi nilitolea maamuzi kutokana na linavitumika hata kama limepotoshwaKumekuwa na upotoshaji "kisarufi" ktk matumizi ya maneno mengi ya kiswahili na hata English pia ...
Neno "mswahili" namna litumikavyo leo na jamii kubwa limepotoshwa kama vile matumizi ya neno "msanii"