Mimi ni mzaramo pia ninaishi mitaa inayoongoza kwa kuvaa madela na asilimia kubwa ya wavaa madela sifa zao zipo hapo.Mleta mada amelenga kwa takribani 60 percent.Madela yanatumika kama sale za shuguli na pia wasasambuaji wengi uswahilini including machoko.Huko mikoani hayavaliwi kwa asilimia kubwa kama pwani.
Ni kweli hizi nguo zinavaliwa sana na watu wa pwani au mwambao,lakini tukija kwenye suala la tabia mara nyingi halisababishwi na nguo tabia ni ya mtu mwenyewe na malezi yake au makuzi yake,kwani hujawahi kumkuta choko mvaa jeans au suti? jibu wapo, na hao wanawake wa uswahilini wanazivaa sana kwa kuwa ni nguo simpo isiyohitaji maandalizi yoyote ili mradi safi wao wanavaa tu ntolee kama ni hospitali au msibani imetoka hawana haja ya kunyoosha wala nini.