Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,034
kweli bwanaKila mmoja aje na kesi yake na aprove, and by the way kipimo gani kinatumika? unene is very relative.
kweli bwanaKila mmoja aje na kesi yake na aprove, and by the way kipimo gani kinatumika? unene is very relative.
The Boss hata siamini huu uchunguzi wako
sina hakika kama kuna ukweli wowote
Moyo wa mtu umeficha mengi sana ..kusamehe ,ukorofi ,mapenzi ni hulka ya mtu ni si umbo lake
Inabidi niongeze kasi ya kula kama mambo yenyewe ndo haya................Naona Boss umetuchoka watu wasio wanene
Na wewe unavopenda kula utakuwa kibulungutu kama kibushuti!
mmmh utaweza maana na size ya tumbo inahusu my dear....
Na wewe unavopenda kula utakuwa kibulungutu kama kibushuti!
Ewaaa! Sasa umeshajua maana ya kibulungutu kama kibushuti?Nitaweza tuu BHT kautumbo si katapanuka na kuwa kakubwa ka kubeba msosi...........
Kwa kiswahili tafadhali mamushka. Unakuwa kama mkosa jina?hahaaaa hapo umeniuna
Nitaweza tuu BHT kautumbo si katapanuka na kuwa kakubwa ka kubeba msosi...........
Kwa kiswahili tafadhali mamushka. Unakuwa kama mkosa jina?
Karibuni pilau wadau ndo nishaanza mchakato wa kuwa kabonge!!!!!!!!
mwaya huyo boss asikutishe mi wala sihangaiki JS
najua am not selfish
najali
sideki wala sidekezi (ni tabia yangu walal umbo langu halihusiani na hii)
najali sana tu....etc
shauri yako utajilazimisha kul ujiute unalia na sahani maana u cant eat more that your capacity
JS bonge wangu baki hiv hivo
Hehehe! Naona kumbe vidole vilijikwaa.hahaaa TUKI wako wapi hapo??
jua kali biggy hapa hamna hata mti wa kivuli
Si unaona sasa ulivoreveal wasifu wa umbo lako?
Lengo la the boss linaanza kutimia.
pilau au ndizi nyama...
mbona nin tabia nyingine similar na hao w athe boss....!!!
nia yangu hapa ni kumwonesha kuwa it is not the size inayofanya mtu awe na tabia fulani....nah nah nah!!!!
Biggy umenionea Masanilo??
Ametoroka kwenye rehabilitation. Gari la konyagi lilipita karibu mpango mzima ukaharibika. The guy is alcoholic!mbona nin tabia nyingine similar na hao w athe boss....!!!
nia yangu hapa ni kumwonesha kuwa it is not the size inayofanya mtu awe na tabia fulani....nah nah nah!!!!
Biggy umenionea Masanilo??