Wenye wanawake wanene utawajuwa tuuuuuuuki cheat,wanasamehe fast
kuliko wembamba....
Source please... lol1.wepesi wa kusamehe..
2.wanapenda ku please
3.wanatulia kwa mwanaume mmoja
4.wakipenda wanapenda kweli..
5.wepesi wa kuomba msamaha
6.sio wabishi
7.wanajua kudeka na kudekeza
8.watiifu.
9.hawaringi sana.
10.wanasahau haraka.....
kwa ujumla ukitaka kupendwa na mwanamke
chagua mwanamke mnene......
mzee unataka source hadi hapo?....Source please... lol
kama wewe ni mwanamke basi jiangalie unaangukia wapi na kama wewe ni mwananume basi mcheki demu/wife wako yupo pande zipi kati hiyo list.......I think this will be the best sourceSource please... lol
Unazungumzia XXL au?
Ukijibadirisha kwa maoni ya watu......ndugu utaishia kila mwezi na figa yake..........Inabidi niongeze kasi ya kula kama mambo yenyewe ndo haya................Naona Boss umetuchoka watu wasio wanene
unihekisi sana mlongo............Ah mwanamke mnene acha bana mpaka unachanganyikiwa ushike wapi ung'ate wapi hahaa tatizo linakuja kwenye pumzi hatua mbili tu hoooiii
Na wewe unavopenda kula utakuwa kibulungutu kama kibushuti!Inabidi niongeze kasi ya kula kama mambo yenyewe ndo haya................Naona Boss umetuchoka watu wasio wanene