Sifa za wanaume weupe

Kibaya ni kuwa wanaume weupe wanaliwa sana tigo pesa! Nimekuongezea hiyo ulisahau.
 
Ungekuwa black ningekuja kuosha macho tu lkn white huhuhuhuhuuuuuuuuuuu utasubiri sana kutafutwa na mimi!!!
Wala sina shida. Ila ukweli utabaki kileleni. Katu hutobahatika. Sizitaki mbichi hizi.
 
Unatuaibisha sisi wanaume weupe aiseee
nwanaume unamwambia mtu atajiju???? et utajiju
hizo kauli ndio maana sisi weupe tunadharaulika
Unamjibu mtu kutokana na hulka yake. Sorry ikiwa imekukwaza ila kwa mlengwa kaipata yenyewe.
 
Hawashtui kabisa niishie hapa maana huu ni uzi wao wa kusifu
Mwanaume anagombania kioo na dadake unategemea afanye kazi nzito? Du pole bidada ningemlipia alicho kufanyia huyo cheupe, wanatudharirisha wanaume.
 
we sema tuuh untaka kumsifia bwana ako....
 
Yaani hapa ndo mnanichoshaga wanaume nyolo nyolo hahahaha akili za kiboy hizi, manengelo mchukue mtu wako huyu


πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚..mie km@Shunie napenda sura chachu best...hahaha...wazuri wakujilamba lips nawapeleka wap.jaman.kapeace...!had nikasema napenda men mwenye sugu mikonom.automatic huyo ni mchachu...πŸ˜…πŸ˜…πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
 

 
Hili jamaa ni bwabwa sio bure
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…