xir jyerphy
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 994
- 185
haya yote ya nin mtu wangu,, unajua kwenye lyf, especially utafutaj,, dont u dare dspise yo fellows,, et kisa we unajweza
kuliko wao,, Mungu kampangia kila mtu future yake, regardless of,, mahal aliposomea,, kwanza kama we unasoma humu bongo, pole, kwasabab unasoma ndan ya nchi ambayo elimu yake bado ni very poor,, haina msaada unaonekana kwa taifa,, wengi wanakariri ili wafaulu mitihani,, et kwa sabab wanakauwezo kauwezo ka kukariri, maneno meeeng, wakat hata ndan ya top 900 ya vyuo dunian cha tz hakimo,, so u better mind yo damnd lyf,,
Ona huyu jamaa anachokataza yeye ndicho anachofanya..."ukiwa muongo basi usiwe msahaulifu"...