Sifa za Wana JF

Sifa za Wana JF

RGforever

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
6,877
Reaction score
5,444
Kuna Kauli ya #The Boss Humu huwa anasema Dont Take JF so Serious.. Yaani Kuna WanaJF humu huwa Naona Sometimes ni Sifa Utadhani huwa Hawana Shida na Maisha Kwao Ni Simple sana.... Ila. ukijua hamna Lolote

Sifa Zao Sasa
1. Daaah Kuna Jamaa Alikuwa anaripoti Habari ITV bhana Akanikatisha Dinner yangu ya 45000 hotelini

2. Nikapaki Gari yangu pembeni.. Kumbe Hata Baskel hana

Ongezea Zingine...
 
Mimi Nyani Ngabu jina langu halisi ni Richard Mugizi:becky:.

Nina miaka 56.

Sina mtoto:becky: wala mke.

Naishi kwenye homeless shelter Marekani [ukweli wa mambo wala siishi Marekani. Naishi huku Kibeberu ila watu wanaamini naishi USA. Hakuna mtu hata mmoja aliyewahi kuniona sehemu yoyote ile USA].

Hihihihihihihiiiiii
 
watu hawajui hata haki zao tanzania wapo wapo tu mradi kelele nyingi action sifuri wanatawaliwa na propaganda miaka nenda rudi ukiwa mtanzania daah yani foreigners wanatucheka sana
 
Kuna Kauli ya #The Boss Humu huwa anasema Dont Take JF so Serious.. Yaani Kuna WanaJF humu huwa Naona Sometimes ni Sifa Utadhani huwa Hawana Shida na Maisha Kwao Ni Simple sana.... Ila. ukijua hamna Lolote

Sifa Zao Sasa
1. Daaah Kuna Jamaa Alikuwa anaripoti Habari ITV bhana Akanikatisha Dinner yangu ya 45000 hotelini

2. Nikapaki Gari yangu pembeni.. Kumbe Hata Baskel hana

Ongezea Zingine...

daa cm za tecno mbovu kwel bora hata hii iphone 6 yangu umejuaje kama tecno mbovu kama hujatumia?
 
Achana na mambo ya jf.

Utaishia kupanic.

Ngoja nikawashe Autobiography yangu niondoke.
 
Mbona mimi ni mwanamke na watu hawajui,......
Wengine wananiita bro daaah noma sana
 
Hahaaahaa et nikapak gar pembeni, il tujue ana gar hahaha... hii ndo Jf buana, stress free zone
I LOVE JF
Soo funny
 
85% wana magari ya maana ya wenzao wanayaita baby walker
 
Asilimia 90% ya wana jf, ukija ubishi wa nani mbabe kati ya Marekani na urussi wote wanakua wataalamu wa mambo ya kijesh na intelegensia kama vile watoto wa Kota, kumbe hata mguu wa kuku hawajawahi kuuona live
 
mwingine anaulizia gharama za shipping akiagiza gari toka Japan wakati a/c haisomi hata 1k USD
 
Back
Top Bottom