Sifa za mwanaume rijali

Sifa za mwanaume rijali

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
37,107
Reaction score
55,516
Sifa za mwanaume rijali
  • Lazima ajue kushawishi (kumshawishi wanamke na akuamini)​
  • Lazima atembee kiume; sio kwenda upande upande​
  • Lazima ajue kubeba majukumu​
  • Lazima awe na sauti kwa mkewe/ mpenzi wake​
  • Lazima awe na msimamo​
  • Havai vitu wanavyovaa wanawake​
  • Hafanyi vitu wanavyofanya wanawake​
  • Hakai karibu na kundi la wanawake​
  • Lazima awe ni mtafutaji/mpambanaji​
  • Haishi kwenye nyumba ya mwanamke​
  • Haendi kumtembelea au kulala kwa mpenzi wake kwenye nyumba / chumba asichokilipia kodi; ata kama ni hotelini, hawezi kukaa kwenye chumba kilicholipiwa na mwanamke.​

fmnz.jpg
 
Sifa za mwanaume rijali
  • Lazima ajue kushawishi (kumshawishi wanamke na akuamini)​
  • Lazima atembee kiume; sio kwenda upande upande​
  • Lazima ajue kubeba majukumu​
  • Lazima awe na sauti kwa mkewe/ mpenzi wake​
  • Lazima awe na msimamo​
  • Havai vitu wanavyovaa wanawake​
  • Hafanyi vitu wanavyofanya wanawake​
  • Hakai karibu na kundi la wanawake​
  • Lazima awe ni mtafutaji/mpambanaji​
  • Haishi kwenye nyumba ya mwanamke​
  • Haendi kumtembelea au kulala kwa mpenzi wake kwenye nyumba / chumba asichokilipia kodi; ata kama ni hotelini, hawezi kukaa kwenye chumba kilicholipiwa na mwanamke.​

View attachment 2534071
......umenikumbusha kitambo kidogo yale majarida ya zamani moja likiitwa BONGO(uhondo mtupu) na lingine TABASAMU(jarida la wajanja), Sasa Toledo la mwaka 96 lilitoka na tittle ya 'Sakata Uvunguni' ilikuja na picha kama hiyo ingawa yenyewe ilikuwa ya michoro....
 
Sifa za mwanaume rijali
  • Lazima ajue kushawishi (kumshawishi wanamke na akuamini)​
  • Lazima atembee kiume; sio kwenda upande upande​
  • Lazima ajue kubeba majukumu​
  • Lazima awe na sauti kwa mkewe/ mpenzi wake​
  • Lazima awe na msimamo​
  • Havai vitu wanavyovaa wanawake​
  • Hafanyi vitu wanavyofanya wanawake​
  • Hakai karibu na kundi la wanawake​
  • Lazima awe ni mtafutaji/mpambanaji​
  • Haishi kwenye nyumba ya mwanamke​
  • Haendi kumtembelea au kulala kwa mpenzi wake kwenye nyumba / chumba asichokilipia kodi; ata kama ni hotelini, hawezi kukaa kwenye chumba kilicholipiwa na mwanamke.​

View attachment 2534071
Mbona hizo sifa ulizotaja ni za malaika
 
Back
Top Bottom